Selfika na JF: Snap it. Show it

Muhenga mwenzangu, unaujua ule wimbo wa Mwana FA na AY... Nasubiri ageuke...
Unadhani aligeuka basi? Imeisha hiyooo
Haya bana. Ngoja nikale sambusa yangu maana tangu asubuhi tuko wote hapa tunasubirisha ugeuke. Halafu eti wimbo wa Mwana FA na AY. Mimi nawafahamu hao akina mwana FA?

Jioni njema mpendwa na ubarikiwe sana. Thanks for the jokes

 
Naomba sambusa, inaonyesha tamu, halafu kubwa na ilivyojimegua hivyo 😋😋😋😋😋😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…