Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila la heri bosi. Nilikuwa hapo juzi. Wamenipunguzia mafao yangu bila sababu. Shwaini zao! [emoji706][emoji706]
Hahaha........Pole Mkuu

Mwenyewe nimecheki hapa naona wanataka kunipa 33% awamu ya kwanza then 67% itafuata kidogo kidogo

Naona hawataki kutoa zote kwa mara Moja kama ilivyokuwa awali kwa kuhofia eti tutamaliza kwa kuwajengea Michepuko πŸ™†
 
Wanawali 'vilembwe' viliwasimama Dede

Acha mambo yako ya uvuvi wa ziwani


Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hahaha............kama hao Wanawali watakuwa single Kijana wangu ana nafasi kwaajili yao, ila atawafanyia interview ya kujua kupika Ugali wa kula watu 10 huku Kijijini.

Manake familia zetu Wakulima tuna kula Sana ugali kuliko hizo Pizza πŸ• zao wanazokula Mjini
 
Tuhurumie ndugu yangu. Sababu kuu leo nimeshinda hapa ni kutaka kutopitwa na mgeuko wako. Hebu geuka pulizi niachane na hili liTECNO mpaka kesho. Puliziii [emoji1545]
Shimba ya Buyenze πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kanywe kahawa jioni hii tu. Sura ya kugeuka ninayo basi, bora kisogo tu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Shimba ya Buyenze πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kanywe kahawa jioni hii tu. Sura ya kugeuka ninayo basi, bora kisogo tu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Haya ndugu yangu. Kama hivyo ndo ulivyoamua sawa. Ila nikikuta ushageuka sipo sijui itakuwaje. So disappointed and hurt. Siku nzima yaani sichezi mbali imagine mpaka TECNO imepata moto hatari ndo kweli unafanya hivi! Haya bana πŸšΆπŸΏβ€β™‚οΈπŸšΆπŸΏβ€β™‚οΈπŸšΆπŸΏβ€β™‚οΈπŸšΆπŸΏβ€β™‚οΈ
 
Pole kama nitageuka, nitakutag sawa eeh. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…