Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,712
- 96,771
hahahaha,mbn umekua mtata fastaUkiweka yako tu, nami nageuka faster π€π€π
Hahaha........Pole MkuuKila la heri bosi. Nilikuwa hapo juzi. Wamenipunguzia mafao yangu bila sababu. Shwaini zao! [emoji706][emoji706]
dah ,hatari sana,mtoto macho unayo,sema inshalbhMy Eyes vs my Avatar πView attachment 2477518
Waongo. Hawana pesa!Hahaha........Pole Mkuu
Mwenyewe nimecheki hapa naona wanataka kunipa 33% awamu ya kwanza then 77% itafuata kidogo kidogo
Naona hawataki kutoa zote kwa mara Moja kama ilivyokuwa awali kwa kuhofia eti tutamaliza kwa kuwajengea Michepuko [emoji134]
Inshallah ni hivi eeh mtu chakedah ,hatari sana,mtoto macho unayo,sema inshalbh
Hahaha............kama hao Wanawali watakuwa single Kijana wangu ana nafasi kwaajili yao, ila atawafanyia interview ya kujua kupika Ugali wa kula watu 10 huku Kijijini.Wanawali 'vilembwe' viliwasimama Dede
Acha mambo yako ya uvuvi wa ziwani
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
mashalaah bibieInshallah ni hivi eeh mtu chake
Tuhurumie ndugu yangu. Sababu kuu leo nimeshinda hapa ni kutaka kutopitwa na mgeuko wako. Hebu geuka pulizi niachane na hili liTECNO mpaka kesho. Puliziii [emoji1545]Ukiweka yako tu, nami nageuka faster [emoji847][emoji847][emoji4]
Hahaha.........ila inauma Sana, unavuja Jasho kutafuta then wanakuja kukupangia namna ya kulipa.Waongo. Hawana pesa!
Shwaini zao!
Shimba ya Buyenze ππππππππ kanywe kahawa jioni hii tu. Sura ya kugeuka ninayo basi, bora kisogo tu ππππTuhurumie ndugu yangu. Sababu kuu leo nimeshinda hapa ni kutaka kutopitwa na mgeuko wako. Hebu geuka pulizi niachane na hili liTECNO mpaka kesho. Puliziii [emoji1545]
Haya ndugu yangu. Kama hivyo ndo ulivyoamua sawa. Ila nikikuta ushageuka sipo sijui itakuwaje. So disappointed and hurt. Siku nzima yaani sichezi mbali imagine mpaka TECNO imepata moto hatari ndo kweli unafanya hivi! Haya bana πΆπΏββοΈπΆπΏββοΈπΆπΏββοΈπΆπΏββοΈShimba ya Buyenze ππππππππ kanywe kahawa jioni hii tu. Sura ya kugeuka ninayo basi, bora kisogo tu ππππ
Pole kama nitageuka, nitakutag sawa eeh. πππππHaya ndugu yangu. Kama hivyo ndo ulivyoamua sawa. Ila nikikuta ushageuka sipo sijui itakuwaje. So disappointed and hurt. Siku nzima yaani sichezi mbali imagine mpaka TECNO imepata moto hatari ndo kweli unafanya hivi! Haya bana πΆπΏββοΈπΆπΏββοΈπΆπΏββοΈπΆπΏββοΈ
Asante sana babu . nakutakia mwaka mwenye mafanikio . tupo tunafurahia hapaNzuri mjukuu.
Nafurahi kukuona ukifurahi na vijana wenzio hapa. Natumaini mwaka mpya unaendelea vyema sana. Hebu mwaka huu ndoto zako zote na zikatimie mjukuu. Nakuombea! [emoji1545]
8th sweet heartπMine 20th Sweet Heart β€View attachment 2477515
Sitaki!Pole kama nitageuka, nitakutag sawa eeh. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji6][emoji6]
Pole sana πΉ nacheka πππππ kama mazuri... tubless na kaselfie ka jioni basi...Sitaki!
Nimekaa siku nzima mpaka kichwa na mgongo vinaniuma. Siyo poa bana! [emoji51][emoji51]