Nipo kamanda. Nasubiria mikutano ya kisiasa kwa hamu hasa siku dogo janja Tundu atakapokiwasha laivu jukwaani na Lema + Wenje huku Heche, Jongwe na Dijei mtoto wa kijijini wakiwepo. Patachimbika kishenzi yaani!
Habari za jioni wapendwa, nimewamiss. Naona gurudumu la Selfika linaendelea. Jamani mbona picha zote nazikosa ππππ rudieni basi jioni π€π€π€π€β€
Habari za jioni wapendwa, nimewamiss. Naona gurudumu la Selfika linaendelea. Jamani mbona picha zote nazikosa ππππ rudieni basi jioni π€π€π€π€β€
Kila siku jamani? Na wengine basi mselfike... tumekuwa tunapiga soga zaidi ya kuselfika. Ingekuwa kwa siku selfie hata 10 hivi ππππππ
Nafurahi kukuona ukifurahi na vijana wenzio hapa. Natumaini mwaka mpya unaendelea vyema sana. Hebu mwaka huu ndoto zako zote na zikatimie mjukuu. Nakuombea!
Kila siku jamani? Na wengine basi mselfike... tumekuwa tunapiga soga zaidi ya kuselfika. Ingekuwa kwa siku selfie hata 10 hivi ππππππ