Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hapana
unahusu wadada waache kupiga mizinga
Hapana
AiseeHahaha...............Vijana mna enjoy Sana maisha, imagine hiyo kushikwa umewekwa kwenye angle ya kitanda then aliyekushika ni shababi wa hivyo. Unaweza Kuta hadi majirani wanaamka kuhisi mnapigana ndani
Sisi enzi zetu ni style ya kumuua mende tu hadi tumezeeka hivi![]()
yeah kama humu ndo kabisaYaniiiii na tushakua wanafamilia piaaaa😘😘!!
Huyo ni Babu wa mchongoHuyu babu ujana wake simpatii picha Hakyanani ni ana kashikashi sio kidogo!!![]()
weuweeehTushakua selfika addictss no way watuwacheeeeeeeeeeee!! Hatudaiwi nawala hatutoki na wame za watruuuuu 💃💃😘!!
Sasa ndugu mambo ya kuwa mbaya subirini nife ndo mseme alikuwa napua kubwa sana sahiz sifien tu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Jf sitrokiiiiiiiii 😁😁
Kunasa wapi Tena wige
Kwa kweli tushukuru sana, kule kisu kongekuwa kimeshapita, watoto wanafatana hiviii dah![]()

Ukienda enda wanakula antennaNami mara moja tu. Sijaenda tena, kuna mila ni za kuziepuka kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣! Grahams nae pia wangu lol sio ERoni tena????😂😂😂! Kwa Misuli ileee Alooooooohh 🤣🤣🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Kam kauwaaaaa 💃💃💃💃💃!!weuweeeh
na bado tutatupia naked 😅
Hizo ndio couple ninazozitambua hizo nyingine weka ❌ tonnia🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣! Grahams nae pia wangu lol sio ERoni tena????😂😂😂! Kwa Misuli ileee Alooooooohh 🤣🤣🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Jf siwaweziii mieeee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nimeacha uzinziAna balaa sio dogo eti
! Misuli ile tunawaza pale tu ni mkono.....Je kunako mzee wa kazi
???
Mi sina kapo humuuu lol!! Huyooo mzeee ana Mtu wake shahidi WigelekeloHizo ndio couple ninazozitambua hizo nyingine weka ❌ tonnia
Mkojo gani?Wigeee Nacheka hadi nataka kujikojolea huku ujueee!
Sema haki ya naniCarrasco putin baada ya kula tunda la Tinsley kimasikhara sasa hutaki kabisa kuja tena huku selfikasio poa kabisa na ulimwahidi hutomuacha sasa umemtelekeza!
Mi Nimeimagine tyu Wigeeee halafu nyeusi sasa! 😂!!Nimeacha uzinzi
Nimeokoka
Kwani misuli ndio inaashiria kunako kuko vipi?
Inaweza kuwa kibamia
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app