Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,589
- 96,260
aisee,hilo andazi litakua tamu sanaHapo na unga wa ngano, mchanganyiko huo unapata maandazi mtu chake
Kwaraha zakeee hadaiwi na mtyu wala hatoki na mke wa mtuuuuuu💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸😘😘!Na anafauduuuu kweli kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu mwema jirani!Hello jirani
habari ya jnne
Nipo poa vipi wewe ?Mungu mwema jirani!
Unaendeleaje!
Karibu juice ya tende
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] Mi nasifia tyuuuuu mchawi mpe sifa zakee [emoji16]!Usije ukajikuta sentrooo[emoji23][emoji23][emoji23]
Niko poa;Nipo poa vipi wewe ?
thank you .. itakuwa tamu hiyo .
Niko poa Rafiki habari za wewe!!Na raha ya dera ukilivaa ulishikilie au ulikunje kidogo.
Unaendeleaje madamme
Sema wewe unakagua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku ilee hukuonaa naweee.
hapo kwa mtumishi au wapiNiko poa;
Ndo ninaipata hapa mawasiliano.
Nikukute stend Sasa apo leo utie baraka
Ula hupendi kuvaa official code??Ilikuwa ni kwenye Wedding party.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijaonaa hataa mi huwa nafocus kuzoom baadhi ya maeneo tyuu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]!
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwaraha zakeee hadaiwi na mtyu wala hatoki na mke wa mtuuuuuu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji8][emoji8]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaguzi muhimu.Sema wewe unakagua
MuNgu ni mwema!Niko poa Rafiki habari za wewe!!
Haya bana mzima lakini wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaguzi muhimu.
Aminaa Amina kubwaaaa dear!! Baraka tumezipokea![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walimu mbarikiwe sanaaaaa.
Nawapendaaaaa!! [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
kipenzi cha genius[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaguzi muhimu.
Nisharudi rafiki nipo Nyakibimbirii hukuuu 😁!MuNgu ni mwema!
Umesharudi rwamishenye
Kukagua nini??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaguzi muhimu.
yametoka vizuriNazi, sukari nikakandia samli kidogo sana. Amira, hiliki, chumvi kidogo sana na banking powder. Sijatumia maji kabisa.