Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,541 Tinsley said: Aisee hapana nawaogopaje.. beach boy mmoja huko Coco nilipiga makelele huko akaniambia dada wewe muoga sana .. utaweza endesha gari kweli ..alikuwa anaenda mbali tu . Click to expand... Sasa kwenye mtumbwi huu ulivokaoga utakaa kweli
Tinsley said: Aisee hapana nawaogopaje.. beach boy mmoja huko Coco nilipiga makelele huko akaniambia dada wewe muoga sana .. utaweza endesha gari kweli ..alikuwa anaenda mbali tu . Click to expand... Sasa kwenye mtumbwi huu ulivokaoga utakaa kweli
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jan 8, 2023 #304,542 Kapachino said: Yule dada white; mchaga flan Hivi nishakisahau jina. Kuna kipindi Hali ilkuwa ngumi tukawa tunawazungukia wa pishi wa coet caftelia tunachanga jero jero na Wana Kama buku 2. Iyo tandamu ya wali na nyama usipime kisha baada ya hapo unachukua kidumu chako enda ku download maji unaganga ya Kesho. Click to expand... @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule?
Kapachino said: Yule dada white; mchaga flan Hivi nishakisahau jina. Kuna kipindi Hali ilkuwa ngumi tukawa tunawazungukia wa pishi wa coet caftelia tunachanga jero jero na Wana Kama buku 2. Iyo tandamu ya wali na nyama usipime kisha baada ya hapo unachukua kidumu chako enda ku download maji unaganga ya Kesho. Click to expand... @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule?
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jan 8, 2023 #304,543 cocastic said: Wakati gani huo? Click to expand... Ulikuwa hujazaliwa.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 8, 2023 #304,544 Kapachino said: Sasa kwenye mtumbwi huu ulivokaoga utakaa kweli Click to expand... kupanda tu shughuli aisee nahitaji assistance . nisije nikaangusha mtumbwi nilivyo bonge 😅😅😅😅
Kapachino said: Sasa kwenye mtumbwi huu ulivokaoga utakaa kweli Click to expand... kupanda tu shughuli aisee nahitaji assistance . nisije nikaangusha mtumbwi nilivyo bonge 😅😅😅😅
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,545 cocastic said: Wakati gani huo? Click to expand... Hahaha ulikuwa hujazaliwa ati! Sasa mnakula maisha tu Rb kwani bado mnatumia coca
cocastic said: Wakati gani huo? Click to expand... Hahaha ulikuwa hujazaliwa ati! Sasa mnakula maisha tu Rb kwani bado mnatumia coca
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,546 sumbai said: Ulikuwa hujazaliwa. Click to expand... Sasa Hivi wanakula samaki samaki mlimani city
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,968 Reaction score 831,512 Jan 8, 2023 Thread starter #304,547
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,548 Walikuwa wanatumiksia wale. Wale wa pishi walikuwa wanawapikia cafe staff ile iliyokuwa nyama kule. Kabla hawajakipeleka ndiyo walikuwa wanatupigia panga sie, na walikuwa wanapeana zamu. sumbai said: @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule? Click to expand...
Walikuwa wanatumiksia wale. Wale wa pishi walikuwa wanawapikia cafe staff ile iliyokuwa nyama kule. Kabla hawajakipeleka ndiyo walikuwa wanatupigia panga sie, na walikuwa wanapeana zamu. sumbai said: @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule? Click to expand...
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,549 Tinsley said: 😍😍😍 last time tumeenda beach tukakutana na mpemba ametutisha huyo hahaaa mambo ya uchawi .. Click to expand... Aliwaambiaje? Beach gani
Tinsley said: 😍😍😍 last time tumeenda beach tukakutana na mpemba ametutisha huyo hahaaa mambo ya uchawi .. Click to expand... Aliwaambiaje? Beach gani
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,550 Tinsley said: Nimeelekezwa beach Bagamoyo huko na wana .. nataka siku niendapo kushangaa maji . Click to expand... Usisahau kunipitia tu jirani.
Tinsley said: Nimeelekezwa beach Bagamoyo huko na wana .. nataka siku niendapo kushangaa maji . Click to expand... Usisahau kunipitia tu jirani.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 8, 2023 #304,551 Tinsley said: hahha ulivyo fashionista wewe ukiniona utasema hiiiii Click to expand... ntaamini dear eti.
Tinsley said: hahha ulivyo fashionista wewe ukiniona utasema hiiiii Click to expand... ntaamini dear eti.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 8, 2023 #304,552 Kapachino said: Hahaha ulikuwa hujazaliwa ati! Sasa mnakula maisha tu Rb kwani bado mnatumia coca Click to expand... mwaka gan huo ambao sijazaliwa? Msinichekeshe mie hapa. Noope RB now.
Kapachino said: Hahaha ulikuwa hujazaliwa ati! Sasa mnakula maisha tu Rb kwani bado mnatumia coca Click to expand... mwaka gan huo ambao sijazaliwa? Msinichekeshe mie hapa. Noope RB now.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 8, 2023 #304,553 Kapachino said: Aliwaambiaje? Beach gani Click to expand... Bandari ya Mbweni mambo ya majini aisee sipendi kusikia habari hizo , tulijuta kuongea naye ..
Kapachino said: Aliwaambiaje? Beach gani Click to expand... Bandari ya Mbweni mambo ya majini aisee sipendi kusikia habari hizo , tulijuta kuongea naye ..
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,554 Pale coco wahuni Sana wale Beach nyingi za bure bure ni ovyo.! Tinsley said: Aisee hapana nawaogopaje.. beach boy mmoja huko Coco nilipiga makelele huko akaniambia dada wewe muoga sana .. utaweza endesha gari kweli ..alikuwa anaenda mbali tu . Click to expand...
Pale coco wahuni Sana wale Beach nyingi za bure bure ni ovyo.! Tinsley said: Aisee hapana nawaogopaje.. beach boy mmoja huko Coco nilipiga makelele huko akaniambia dada wewe muoga sana .. utaweza endesha gari kweli ..alikuwa anaenda mbali tu . Click to expand...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 8, 2023 #304,555 Kapachino said: Usisahau kunipitia tu jirani. Click to expand... sawa jirani
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 8, 2023 #304,556 sumbai said: @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule? Click to expand... sio mtoto wa kishuaa, afu mie mwenzenu mambo ya cafeteria hapanaaa. Nshazoea kula n home kwangu. Hata shule O level na advance, mie nilikua nakulaa jioni tyuuh, mchana mara chache sanaaa. Nshazoea kushinda kutwaa nzima bila kula, mwanzo wengi walijua na pretend kumbe ndo niko hvyoo sahv washanizoea.
sumbai said: @cocastic huyu mtoto WA kishua sidhani Kama analijua lile chimbo la coet kule. Kapachino miaka yote sikuwahi kujua ule msosi mwingi kutoka chimbo la koet linapikwa na nan? Hivi alikuwa haweki hamira Yule? Click to expand... sio mtoto wa kishuaa, afu mie mwenzenu mambo ya cafeteria hapanaaa. Nshazoea kula n home kwangu. Hata shule O level na advance, mie nilikua nakulaa jioni tyuuh, mchana mara chache sanaaa. Nshazoea kushinda kutwaa nzima bila kula, mwanzo wengi walijua na pretend kumbe ndo niko hvyoo sahv washanizoea.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 8, 2023 #304,557 sumbai said: Ulikuwa hujazaliwa. Click to expand... acheni dharau bas nisizaliwe kwa kipii sasa. Mmemaliza juzi juzi hapoo. Ndo mnajionaa wa zaman.lol
sumbai said: Ulikuwa hujazaliwa. Click to expand... acheni dharau bas nisizaliwe kwa kipii sasa. Mmemaliza juzi juzi hapoo. Ndo mnajionaa wa zaman.lol
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Jan 8, 2023 #304,558 cocastic said: mwaka gan huo ambao sijazaliwa? Msinichekeshe mie hapa. Noope RB now. Click to expand... sumbai dogo haijui rb. Mama kifusi je? Miaka iyo coca chakula coet rb ni 600 mpaka 800 tu
cocastic said: mwaka gan huo ambao sijazaliwa? Msinichekeshe mie hapa. Noope RB now. Click to expand... sumbai dogo haijui rb. Mama kifusi je? Miaka iyo coca chakula coet rb ni 600 mpaka 800 tu
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 8, 2023 #304,559 Kapachino said: Pale coco wahuni Sana wale Beach nyingi za bure bure ni ovyo.! Click to expand... Yeah nyingi za ovyo aise nikienda siku hizi naenda kula mihogo na mishkaki tu .
Kapachino said: Pale coco wahuni Sana wale Beach nyingi za bure bure ni ovyo.! Click to expand... Yeah nyingi za ovyo aise nikienda siku hizi naenda kula mihogo na mishkaki tu .
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 8, 2023 #304,560 Bantu Lady said: View attachment 2473120 Click to expand... Huhuhuh ushanipa hamu ya kuvaa vyangu, mie rangi nyeupee. Nikirud home ntaendaa kuvaa nizurure navyo
Bantu Lady said: View attachment 2473120 Click to expand... Huhuhuh ushanipa hamu ya kuvaa vyangu, mie rangi nyeupee. Nikirud home ntaendaa kuvaa nizurure navyo