Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Umekua modooooo😍😍😍😍😍! Hauna kitambi kabisa saiviii🔥!ninawasalimu
View attachment 2470190
Hoooooottttt 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥!
Nougaaa sana mamy!
Umekua modooooo😍😍😍😍😍! Hauna kitambi kabisa saiviii🔥!ninawasalimu
View attachment 2470190
Kwamba nitaachwa na babe Bantu Lady ? This time i am taken for good!😅Best na BL Mlichomfanya Vale Mungu anawaonaaa 😁😁😁😁🤣!
Uzuri Penzi lenu na Vale huwa halichachi!! Hapo tu ndio ananikosha unazunguka weeeeehh unaswampa weeeeehh ukirudi anakupokea hanaga makuu kabisa!!
What a strong woman!!
✌️✌️✌️
Komaa nae utulie uache mapepe yako sasaa! Mtoto katulia hana mbambambaa kabisa wewe tu ujichanganye na ma ex zako mia kidogo 😁😁😁!!Huyu mtoto Bantu Lady kaniweza kwakweli😅...moyo wangu umemdondokea😊
Pic zake zinaonesha mtoto mtulivu sana!..Siwezi kuchezea hii bahati kwakweli!Komaa nae utulie uache mapepe yako sasaa! Mtoto katulia hana mbambambaa kabisa wewe tu ujichanganye na ma ex zako mia kidogo 😁😁😁!!
Bantu lady amekupenda kweri kweri si unaona regardless ya maneno yote humu still amekomaa amekushikilia nawe umshike ipasavyooo sasaaa!!Kwamba nitaachwa na babe Bantu Lady ? This time i am taken for good!😅
Unataka nikufae wewe kama nani mkuu? Hebu jibu😂
Pendaneni mwayaTumependanaa wenyewee
.
Hapa waambie najua kupenda, sijui kuacha 😍😍😍😍 nafasi imejaa hakuna pa kumuweka. Nakaba mpaka penalt 😄😄😄😄Kwamba nitaachwa na babe Bantu Lady ? This time i am taken for good!😅
Fanya hivo umeopoa kitru matraaatraaaaa sanaaaa hapo si unaona wanavokuonea wivu na kumtolea macho wee zubaaa uone!!😂😂😂😁Pic zake zinaonesha mtoto mtulivu sana!..Siwezi kuchezea hii bahati kwakweli!
Kweli kwa yale maneno angekuwa hana upendo wa kweli angeshasepa😅Bantu lady amekupenda kweri kweri si unaona regardless ya maneno yote humu still amekomaa amekushikilia nawe umshike ipasavyooo sasaaa!!
Ukilega lega wanamnyanyua juu juu ubaki unalia naroho yako usiseme sijakwambiaaaa 😁😁😁😁🤣!!
Uzuri wanasoma kimyakimya😅Hapa waambie najua kupenda, sijui kuacha 😍😍😍😍 nafasi imejaa hakuna pa kumuweka. Nakaba mpaka penalt 😄😄😄😄
Mwanangu hujambo?Acha akufaudu tyuuuu umemfanyeje jirani kwani??? Kashikashi zako sio ndogoo shoss angu anaachaje kucheka kwa sauti!!😁😁
Bhana hapa jobless ni mie tyuuh, na isitoshee wapangaji wenzangu huwa wanachelewa kurudi, na hatuonan inaweza pita hata week 3, yaan hata weekends sio rahis sanaa, ni mara chache mnoo. Kila mtu yuko buzzy na life lake, mambo madogo madogo tunamalizana kwa simu.Acha akufaudu tyuuuu umemfanyeje jirani kwani??? Kashikashi zako sio ndogoo shoss angu anaachaje kucheka kwa sauti!!![]()
sikio 1, c ikawa inaimba "shake body " ya Skales wee nilichachawa nkakumbuka enzi zangu nikiwa dancer, nsichomoe
na kuacha cm iimbe yenyewe pandsha sauti weka chini Pa1 na mkoba, nkaanza shushaa mautundu yangu hapooo, kata viuno juu had chini. Yaan niko serious mwenyeweee nshachachawa hapo, kumbe jiran yuko kwake ananichabo dirishan, uvumilivu ulimshinda kwann asichekee kwa nguvuu, 









Nawaona wanavyochungulia kwa mbali!😅Fanya hivo umeopoa kitru matraaatraaaaa sanaaaa hapo si unaona wanavokuonea wivu na kumtolea macho wee zubaaa uone!!😂😂😂😁
Aaaasssssaaaaaannteeeeehhhh!!Hapa waambie najua kupenda, sijui kuacha 😍😍😍😍 nafasi imejaa hakuna pa kumuweka. Nakaba mpaka penalt 😄😄😄😄
Marhabaninawasalimu
View attachment 2470190
Binti yangu hujapata mchumba bado kwani?Pendaneni mwaya
love is a beautiful thing