Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mbna leo jiraniii kanifaidiii wallah.
Sio kwa mambo hayaa nilofanya, khaaaah.

mwenyeweee nkikumbukaaa nachekaaaa sanaaaa, nlitimua mbioo hatareeee. Uwiiiih
Siku nyingine ukiyarudi ujiselfii kabisa uje kunibless nife Mbavu nirurahii naroho Yangu mieee🤣🤣🤣🤣
 
Bhana hapa jobless ni mie tyuuh, na isitoshee wapangaji wenzangu huwa wanachelewa kurudi, na hatuonan inaweza pita hata week 3, yaan hata weekends sio rahis sanaa, ni mara chache mnoo. Kila mtu yuko buzzy na life lake, mambo madogo madogo tunamalizana kwa simu.

Km kawaida mie ndo huwa nawahi kurud hapa, sasa leo kumbe aliwahi kurudi mwingne, sijui yuko off au alikua na tatizo gan. Afu ana gari, sasa ningeona pale parking ningejua kuna mtu yupoo. Sasa hajarud nalo.

Bas bhana mie fungua gate ingia ndan huku naskiliza music kwa sikio 1, c ikawa inaimba "shake body " ya Skales wee nilichachawa nkakumbuka enzi zangu nikiwa dancer, nsichomoe na kuacha cm iimbe yenyewe pandsha sauti weka chini Pa1 na mkoba, nkaanza shushaa mautundu yangu hapooo, kata viuno juu had chini. Yaan niko serious mwenyeweee nshachachawa hapo, kumbe jiran yuko kwake ananichabo dirishan, uvumilivu ulimshinda kwann asichekee kwa nguvuu,

Nlishtukaa ghaflaaa, okota vitu vyangu chini huyoo had kwangu fungua mlango tangu nlivoingia ndan had sahv, naona aibu sijui kesho itakuaje. Bora nisionane hata mwezi upite atakua amesha sahau,

Mie nna heka heka wallah. Khaaaah
Ahahahha.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Siku nyingine ukiyarudi ujiselfii kabisa uje kunibless nife Mbavu nirurahii naroho Yangu mieee
Mwenzako huwa naji record afu narushia kwa PC, maana cm enyewee hii naweza poteza,

Em keshoo nikurushie records zangu,
Ufurahiiii weee na usuuzike na roho yako,

Akili zangu zinazijua zwnyewwe, mie kukata viuno huku lecturer anafundsha sio shda zangu, mood ikija hapo hapo. Neiba wangu huwa wanafurahi mnoooo.
 
Back
Top Bottom