Ila jaman chuoni kuna wanaume wa haja, leo asubuh nimepishanaa na mkaka yuko vile ambavyo mie napendaa, tukaishia kupeana hi.
Kwenda mbele kdg nkageuka kumtazama kumbe naye aligeuka kunitazama, tukagongana macho, aaah nkageuzaa shingooo huyoo zangu nlikokua naelekeaa.
Sijui yuko mwaka wa ngapi yulee.