Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Linataka damu ! Alafu babu yule anadai alfwat lilimpenda ndo maana alipokosea masharti kule kwa mpenda halikumuadhibu ! Sadaka za damu mbaya, Bora mboga mboga na kabeji
isijefika sehemu wakataka kumtoa sadaka mtoto wa watu huko kupendwa na majini sio kabisa!
Au labda alivokua jasiri haogopi na alipokuwa anasafisha ule ute ute pale chini bila kujali wala kinyaa!
Kuna watu wana mioyo ya ujasiri aiseeehhh!!
 
Naona ndoano imenasa

Sasa unajipiga Busta Ili usije kojoa upepo

Duh mwana una mbinu

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Nakula kwaajili ya kuondoa Baridi tu, si unajua Uzee huu 🤗🏃🏃

Ukiwa Mzee kama Mimi then ukajidai unahusudu Ke lazima ukate moto kifuani.

Wacha nifaidi kwanza Pension yangu vizuri 🤗
 
Nakula kwaajili ya kuondoa Baridi tu, si unajua Uzee huu 🤗🏃🏃

Ukiwa Mzee kama Mimi then ukajidai unahusudu Ke lazima ukate moto kifuani.

Wacha nifaidi kwanza Pension yangu vizuri 🤗
Bado tunakuhitaji sana babu yetu tasavali ke waachie wazee makanjanja!! Hatutaki bibietu abakie mpweke sie pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Yes wanahisi hivyo? Mimi ni mweupe pee pia but ukisema Mkurya wanakataa. Mara imebarikiwa kila kitu, wanawake wa Kichaga wameligundua hilo tumeoa kama wote...
utakuwa pisi ya maana na id pia inasadifu .. wakuria hoyeeee 😍😍

nafanishwa sana na wachaga ... mama yangu alikuwa na sura ya huko katuachia kopi .
 
Back
Top Bottom