cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Huyu ji wangu halafu kanipenda kweli kutoka moyoni!Mbona watu wanapigana nisiwe na ŵwe?ni wivi tu ama?
Uko vizure babu wee si jiniazz huwezi kosa majibu alternatives!!Kwa Umri wa Babu yako hapa, hawezi kuwa na jibu 1, lazima Kuna solution zaidi ya 99 ziliwekwa peding 🤗
Koh Koh Koh ...........🏃🏃🏃🏃🏃Raha ya kavu kavu kukojolewaaaa. Ukikojolewaaa unaskliziaa inatirikaaaa chwaaaaaaaaaaaaa, ewaaaaaah hata mfuko wa nyegee unasema "yes we can drink it"
Sasa mwingne unabaki kujiuliza. Kakojoa kweli? Au kakojoa upepooo. Lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Wige siku moja nikutoe dinner basi my friend, chugua sehemu...
Naona ndoano imenasaView attachment 2468828
Enzi za Uzee wao Mfalme Suleimani na Daudi walipewa Mabinti Vigori kuwasaidia wasife kwa Baridi
Unfortunately, Wazee siye tumeambiwa eti tule Korosho kujikinga na Baridi, Wacha nizingatie Ushauri tu![]()
Kuna episode mpya kaichekiTupieni selfii za mchana basi!!! Tinsley kipenzi Naomba unibless ya new year pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Hapo sawaNataka niende na mtoto Tinsley mbugani nikamuoneshe wazee tunavodekeza
Eeh?!Auuwiiiiiiii babuuuumate yamenijaaje mdomoni kwa kuona hizo korosho Hapaaa!
Naomba unitumie mjukuu wako nazipenda sana Babuuu!
Nilizila sana likizo kwa bibi Tangu hapo mpaka waleo kama nimerogwa vileee masaa yote natamani korosho!!![]()
Wabheja sana mkuu ngoja niende zangu kwa master🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!Kuna episode mpya kaicheki
Mwache Mjukuu wangu ale Korosho, kwanza si ameshaolewa huyu hiyo kazi ya pili tumuachie Mumewe 🙈🏃🏃
Ndriiiooo babuuuu!! nakaziaaaaaaaaaaaaa 💃🤸🤸!🤣Mwache Mjukuu wangu ale Korosho, kwanza si ameshaolewa huyu hiyo kazi ya pili tumuachie Mumewe 🙈🏃🏃
WachagaYes wanahisi hivyo? Mimi ni mweupe pee pia but ukisema Mkurya wanakataa. Mara imebarikiwa kila kitu, wanawake wa Kichaga wameligundua hilo tumeoa kama wote...

Wanakuonea hurumaMbona watu wanapigana nisiwe na ŵwe?ni wivi tu ama?
YaaniWige siku moja nikutoe dinner basi my friend, chugua sehemu...
Ili tu usiniharibie kwa Jack wangu.
Wige Umughaka keshashusha episode kule Hivi sio mdau kule eee??Yaani
Nilipiwe bill na mwanamke
Wee ulisikia wapi
Sasa hata mahali unaweza kunitolea
Aiseee
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app