sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mimi nasubiri yako tuuu.usicheze Mbali coca anashusha kitu muda si mrefu mkuu!
Mimi nasubiri yako tuuu.usicheze Mbali coca anashusha kitu muda si mrefu mkuu!
ndo ivo Tena !!! Kuliko mAringo bora aseme achangiwe bAndo !Yeah amekua famous Na watu wanamtafuta sana kuonana nae na kumsapoti in one way or another so bichwa hilooo plus jeuriiii za kikwao!
Usipepese hata kopeeee napita kama upepooooMimi nasubiri yako tuuu.

Sipepesi hata kidogoUsipepese hata kopeeee napita kama upepoooo![]()

Unajua kufanya timing balaaaaSipepesi hata kidogo![]()
Soon napita naked!😉Hapana tena pita nakedddd kabisa![]()
ndo ivo Tena !!! Kuliko mAringo bora aseme achangiwe bAndo !
Lini umesafiri kutoka mwailubi?Yuko na mimi chief, nimembebea kikapu

Sikio limezidi kichwaBando si kashinda Memba bora wa Mwaka kwa entertainment huko wanapewa bando la kutumia Jf bure mwaka mzima! Ni bora aseme tu watu wanunue kwa WhatsApp au.pm kwake ijulikane moja ule uswahiliiii Swahili sio kabisa Afu alianza vizuri Kweli!
Nini hiki???Bando si kashinda Memba bora wa Mwaka kwa entertainment huko wanapewa bando la kutumia Jf bure mwaka mzima! Ni bora aseme tu watu wanunue kwa WhatsApp au.pm kwake ijulikane moja ule uswahiliiii Swahili sio kabisa Afu alianza vizuri Kweli!
Nitajiselfie kabla jua halijazama madam, usikae mbali🤣🤣🤣🤣 jitahidi utublesi sijaona sekfii yako ya twenty twenty threee kabisa!