Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie leo wakati natoka home, si nikavaa official code.
Suit 1 matata, rangi ya maziwa, ndani nlivaa manga nyeusi, chini sandols za DIOR, ambazo nyuma zinakua wazi.

Nimetoka tyuuh njee, woiiiiiii watu wamenshangaaa leo, kuanza kunisifiaa, nimechokaa kuna m1 kaniambia eti rangi sio nzuri kwangu, nimependezaa sanaa ila ingekua nyeusi, mwingne kaniambia nimekua km Willow smith.

nikavuaa koti, nimebaki na vingnee tyuuh nafka chuo watu wanasemaa ungepatia na koti lakee sasa mbna umenougaaaaa, had wanasema 'best wee vaa official unatokaa mcharoo" sasa had nataman nirud nkavaw koti.

Nweiii kesho navaa official code nyeupee. Na nyeusi ntaenda kukata kitambaa nishonee.

Huhuhuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Sasa
 
20230102_135540.jpg
 
Back
Top Bottom