Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku ya tarehe leo 1/1/2023 nimewezakuamka mapema sana. Nikaenda nje kuuona mwaka wa 2023.


Lakini nikawa na mshangao....nashangaa mbona kila kitu kinafanana na mwaka jana... mwanga ni ule ule....watu ni wale wale.....nikatizama karibu kila kitu nikakuta ni kile kile....!

Nikarudi ndani nikiwa natafakari.....maana ya mwaka mpya ni nini hasa? Je inamaanisha nini kwangu binafsi? Je kwa familia yangu inamaanisha nini? Je kwa jamii inamaanisha nini?

Kwakweli sikuwa na jibu la moja kwa moja....ila nikajaribu kudhani mwaka mpya unaweza kuwa unamaanisha mambo yafuatayo-

1. Mwaka mpya hauna maana yoyote kama mimi binafsi siwezi kujipima mabadiliko yangu ya kila nyanja kati ya mwaka juzi na mwaka jana. Kama sina mabadiliko yoyote basi mwaka huu mpya hauna maana yeyote.

2. Kwamba kuweka malengo mwanzo wa mwaka huenda sio kitu cha maana sana....kitu cha maana pengine ni kuchukua hatua za kimaendeleo kila nyanja kwa kila siku.....kwani kila siku huwa tunatimiza mwaka...

3. Kwamba mabadiliko ya tarehe hayatakuwa na maana ikiwa nitaendeleza matendo yale yale ya mwaka jana kwa namna ileile huku nikitarajia mabadiliko katika matokeo.

4. Nikahitimisha kwamba ikiwa nitaendelea kuwalaumu wengine katika kushindwa kufikia malengo yangu....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

5. Nikawaza ya kwamba ikiwa nitakuwa natafuta wakati sahihi wa kuanza jambo au kutekeleza wazo flani litakaloleta tija maishani mwangu na kwa jamii kwa ujumla....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

6. Kwamba ikiwa nitamaliza siku, wiki au mwezi bila ya kuwasiliana na watu ninaowajali au wanaonijali kwa kigezo kwamba niko "busy"....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

7. Ikiwa nitashereka "birthday yangu" nikiwa na marafiki zangu huku nikiwasahau wazazi wangu na ndugu zangu....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

8. Ikiwa nitasali sana kwa bidii....nikafunga na kutoa sadaka sana.....ila nikashindwa kuwasaidia ndugu zangu....wazazi wangu....familia yangu.....bali nikawasaidia zaidi watu baki.....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

9. Ikiwa nitatumia muda mwingi mtandaoni...nikiwa naonesha maisha yangu ya kuigiza au nikifatilia maisha ya wengine na kujilinganisha nao....huku nikiamini nitapata muda wa ziada wa kufanyia kazi mambo ya msingi kwenye maisha yangu na ya jamii nzima....basi mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

10. Ikiwa nitakuwa nafanya mambo ili kumridhisha kila mtu basi sina shaka kwamba mwaka mpya hauna maana yeyote kwangu.

Nimetafakari haya na mengine mengi...nimeona niwape na ninyi mnisaidie kutafakari ...kisha kwa pamoja na kwa mmojamoja tuchukue hatua stahiki kila siku.....kwani wote tumepewa masaa 24 kwa siku...! Hakuna mwenye ziada.

Noted: Tujikumbushe kua mwaka haubadilishi maisha yetu , sisi ndio tunabadilisha maisha yetu,mwaka mpya unatupa muda wa sisi kufanya hivyo , ila hauna uhusiano na matokeo , refa ni sisi kwa mikono akili na jasho letu.
Ujumbe mzuri kuufanyia tafakuri. Heri ya mwaka mpya chief!!
 
Heri ya mwaka mpya kwako,
Wanasema jobless atoke tu azurure tu hata kwenda kariakoo tu huenda akapata cha kufanya huko aliko kuliko kujifungia ndani.
Ahsante Sana kaka ake.
😂😂😂😂 Ndiyo najiandaa hapa niende kkoo nikitoka hapo nipitie karume nishangae jioni nipige Hamza kanuni siku iishe.
 
Oooooh ahsanteee dyadyaaaa, nshasahau mara ya mwsho kupaka mafuta, nikiogaa huyo zanguuu.

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Sent using Jamii Forums mobile app
WeeWeeeh.embu acha nifurahisha bana..😂😂 unawezajee!!!
Oooooh ahsanteee dyadyaaaa, nshasahau mara ya mwsho kupaka mafuta, nikiogaa huyo zanguuu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante Sana kaka ake.
😂😂😂😂 Ndiyo najiandaa hapa niende kkoo nikitoka hapo nipitie karume nishangae jioni nipige Hamza kanuni siku iishe.
Basi kila utakapopita Mungu ataifungua njia na utapata kidogo kwa ajili yako na watu wako mdogo ake🤣
 
Nyie leo wakati natoka home, si nikavaa official code.
Suit 1 matata, rangi ya maziwa, ndani nlivaa manga nyeusi, chini sandols za DIOR, ambazo nyuma zinakua wazi.

Nimetoka tyuuh njee, woiiiiiii watu wamenshangaaa leo, kuanza kunisifiaa, nimechokaa kuna m1 kaniambia eti rangi sio nzuri kwangu, nimependezaa sanaa ila ingekua nyeusi, mwingne kaniambia nimekua km Willow smith.

nikavuaa koti, nimebaki na vingnee tyuuh nafka chuo watu wanasemaa ungepatia na koti lakee sasa mbna umenougaaaaa, had wanasema 'best wee vaa official unatokaa mcharoo" sasa had nataman nirud nkavaw koti.

Nweiii kesho navaa official code nyeupee. Na nyeusi ntaenda kukata kitambaa nishonee.

Huhuhuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie leo wakati natoka home, si nikavaa official code.
Suit 1 matata, rangi ya maziwa, ndani nlivaa manga nyeusi, chini sandols za DIOR, ambazo nyuma zinakua wazi.

Nimetoka tyuuh njee, woiiiiiii watu wamenshangaaa leo, kuanza kunisifiaa, nimechokaa kuna m1 kaniambia eti rangi sio nzuri kwangu, nimependezaa sanaa ila ingekua nyeusi, mwingne kaniambia nimekua km Willow smith.

nikavuaa koti, nimebaki na vingnee tyuuh nafka chuo watu wanasemaa ungepatia na koti lakee sasa mbna umenougaaaaa, had wanasema 'best wee vaa official unatokaa mcharoo" sasa had nataman nirud nkavaw koti.

Nweiii kesho navaa official code nyeupee. Na nyeusi ntaenda kukata kitambaa nishonee.

Huhuhuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno bila picha mdogo wangu Dada ako sielewi
 
Nyie leo wakati natoka home, si nikavaa official code.
Suit 1 matata, rangi ya maziwa, ndani nlivaa manga nyeusi, chini sandols za DIOR, ambazo nyuma zinakua wazi.

Nimetoka tyuuh njee, woiiiiiii watu wamenshangaaa leo, kuanza kunisifiaa, nimechokaa kuna m1 kaniambia eti rangi sio nzuri kwangu, nimependezaa sanaa ila ingekua nyeusi, mwingne kaniambia nimekua km Willow smith.

nikavuaa koti, nimebaki na vingnee tyuuh nafka chuo watu wanasemaa ungepatia na koti lakee sasa mbna umenougaaaaa, had wanasema 'best wee vaa official unatokaa mcharoo" sasa had nataman nirud nkavaw koti.

Nweiii kesho navaa official code nyeupee. Na nyeusi ntaenda kukata kitambaa nishonee.

Huhuhuh.

Sent using Jamii Forums mobile app

Embu tuma picha nione maana kuna mtu nimepishana naye mitaa ya extenal hapa kavaa kama unavyosema
 
Nyie leo wakati natoka home, si nikavaa official code.
Suit 1 matata, rangi ya maziwa, ndani nlivaa manga nyeusi, chini sandols za DIOR, ambazo nyuma zinakua wazi.

Nimetoka tyuuh njee, woiiiiiii watu wamenshangaaa leo, kuanza kunisifiaa, nimechokaa kuna m1 kaniambia eti rangi sio nzuri kwangu, nimependezaa sanaa ila ingekua nyeusi, mwingne kaniambia nimekua km Willow smith.

nikavuaa koti, nimebaki na vingnee tyuuh nafka chuo watu wanasemaa ungepatia na koti lakee sasa mbna umenougaaaaa, had wanasema 'best wee vaa official unatokaa mcharoo" sasa had nataman nirud nkavaw koti.

Nweiii kesho navaa official code nyeupee. Na nyeusi ntaenda kukata kitambaa nishonee.

Huhuhuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe una kamwili kama ka willow smith
 
Back
Top Bottom