Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt mimi sina cha kunifanya nigombaniwe
Ela sina.......
Wala siyo Tall Dark Uchebe........
Nitagombewa na nani tena aunt

Nina mpango wa kuingia msituni kukugombania wewe maana naona huyu Poker na ERoni wanataka kunizidi kete
Mkuu,
Naungana na wewe, sina pesa, sio tall wala dark, sina mvuto ila nina UCHEBE, sasa huyo sophy27 atanitaka kwa lipi.
 
jana usiku kaja PM mtu na heshima zake, ndo anaanza kuniambia hayooo maraa ooh niwe makini ntapata ukimwi na magonjwa ya zinaa,.
Sijui kwanini kanijia meneja Lenie ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Em nilee mtoto mie
 
Wewe si una kazi za watu hapo na mtoto anakusubiri kubembeleza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mtoto wenyewe nilotelekezewa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Sema mtoto wangu mzuri sana
Hapana chezea kuzaa na mzungu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Hii kazi haifanyiki, nilichoweza ni kuwasha tu PC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ