Dyadyaaaa unaambiwa najitongozeshaaa PM kwa mabwanaa wa watuuu.Hii mpya my wangu
Shemeji yako kasema
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂!hivyo vibabuuu vitakufiaa kifuaniiii.
Utapata case ya kuua kwa kuto kusudia shauri yakooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf hatutrookiiii ng'oooo!!Dyadyaaaa unaambiwa najitongozeshaaa PM kwa mabwanaa wa watuuu.
Wallah JF sihamii kamweee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, ngoja nimuulize kuku wangu kama ushawahi mtupia punjeDyadyaaaa unaambiwa najitongozeshaaa PM kwa mabwanaa wa watuuu.
Wallah JF sihamii kamweee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebuu muulize harakaaaa, ukuteee nlimtumia na pichaaa eti.Aisee, ngoja nimuulize kuku wangu kama ushawahi mtupia punje
Afu sibadili acc na sina ingineee,Jf hatutrookiiii ng'oooo!!
Hatuhamiiiiii
!
Weee viko gadoooooo vipo fitttttt vina mamboooo vinifie thubutuuuu!!!!!!!!
Hakuna ubaya dear, zamu zamu hiyo,
Hakuna ubaya dear, zamu zamu hiyo,
Ukienda December mie January
Thubutu
Ukweli ni wewe kuweka full 😀😀Sema kweli
Thubutu,jaribu uone
Halafu nawe una nini mbona unazongwa sana???
Yaani ni wewe unawafuata mabwana wa watu Pm???
Aisee humu ni kwa motoooo
Sasa wenye mabwana wamekufuata au mabwana wenyewe???dyadyaaa mwenzio had sometimes nachokaaa.
Eti mie najitongozesha kwa mabwana wa watu PM, maskiniii hao wenyewee wanao tajwaaa hata sijawahi kuongea nao chochote, nabaki kujiuliza au kuna mtuu ndo anasumbua watu afu anajifanya mie kwa ID ingnee.
Kheeeeh hata sielew,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mabwana wala wenye mabwanaaa, ila wenye mabwana wanaunda tumee kutaka kunichambaaaaa,Sasa wenye mabwana wamekufuata au mabwana wenyewe???
Wapotezeee wasikuchoshe,
Huyu mbna anatambulikaaaaa, kuwa ni wangu ila aliniachaa Golden Tulip Zanzibar, had pesa ikakata nikaombaa msaadaa kwa manager nirud Dar
Looooh kumbeSio mabwana wala wenye mabwanaaa, ila wenye mabwana wanaunda tumee kutaka kunichambaaaaa,
Sasa sijui mabwana zao ndo wanawaambia mie nawasumbua, akat hata sijawahi kuongea nao. Mweeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamfilisi jamani ndiyo maana vocha hatupiiHuyu mbna anatambulikaaaaa, kuwa ni wangu ila aliniachaa Golden Tulip Zanzibar, had pesa ikakata nikaombaa msaadaa kwa manager nirud Dar
Mara namgandaaa yeye hanitakiii, mie namgandaaa na nmemfilisi pesaa zakee.
Mjep mume wanguuu ukujeeee hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuhusu kuundiwa tume, kuna jamaa siku hyo akasema kiutan ktk uzi fulan hv, mie malayaa naiba mabwana wa watu, nkapotezeaa nkahis utan, mara ya pili mtu mwingne tena ktk uzi akasemajee wee una dawa kila mtu unae mfataa anakukubalia na kukuhongaa pesa ndefu,Looooh kumbe,
Pm au kwenye uzi?