Sure inahitaji mmoyo wa ujasiriUoga ndo akili ati 😅😅
hadi upate dream job ni kasheshe .
huyo dada aliula aiseee .
mimi sitaki hayo mambo .
yaani yule ni kichaaa anakutext halfu anapiga video call .. ukipokea anakuambia shusha camera chini usawa wa hips . mimi nilikuwa ovyo hahhaa 😅 nikaona ujinga huu jamani . nikamkatia akaanza kunisema hivi una akili wewe ?Kisa nini
Hapana aiseeeSure inahitaji mmoyo wa ujasiri
She is living her life now.
Haha huyu alitia fola!yaani yule ni kichaaa anakutext halfu anapiga video call .. ukipokea anakuambia shusha camera chini usawa wa hips . mimi nilikuwa ovyo hahhaa 😅 nikaona ujinga huu jamani . nikamkatia akaanza kunisema hivi una akili wewe ?
aisee ghafla ananitukana matusi makubwa dah sikumjibu
Sure!Hapana aiseee
Ma Hr hawa wanawapata wadada ile mbaya .
sijawahi kukutana na hayo mambo aiseee na pia sura ya baba inanisaidiaSure!
Yani kazi ndo imekuwa ndoano.
Na bora iyo kazi uipate sasa
Unatafunwa then unakaa pembeni;
Watu wakataka yajue tinsley yaliyomo yamo.mjinga yule 😅😅😅
hataa haajiri usikute.
kuna mtu mmoja mweupe naye alikuwa ananigia video call hivi .. nikajua ni common kwa employers 😅😅
hahah nilimpa mtu simu akamtukana na kumblock after ..Watu wakataka yajue tinsley yaliyomo yamo.
Haha baby face jamaa alijilizisha you are good, and of course you are.
Haha embu ACH kujisingizia ujue! Embu selfika apo!!hahah nilimpa mtu simu akamtukana na kumblock after ..
Yaani nilihamaki ... ujizungushe weh akuambie geuka mbele na mie shape sina
zamu yako hii .Haha embu ACH kujisingizia ujue! Embu selfika apo!!
Pia uku ivo ivo! Unataka inyesheHuku mvua zinaanza serious na kupotea tu .
Ooh vizuriPia uku ivo ivo! Unataka inyeshe
Tiyarizamu yako hii .
nimeselfika twice
sijaona mieTiyari
sijaona mie
pazuri
Haikuwa tz. Kwa majirani zetu hapopazuri
ni wapi huko ?