Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Good Morning all
Love all
Love all
Haisumbui we fanya necessary arrangements tu
Hapa ni Mbeya?
Post siioni ila picha naiona, binafsi nauelewa upendo wako kwangu, kwa hiyo huo ujumbe waopokee wengine pia. (Not taking it for granted though).
Hamna shida... wengine sisi kama Wenger tuko vizuri kwenye kukuza vipaji🤣🤣Sema wote tuko 'tekeni' kasoro wale ambao bado hawajamaliza shule
Haha. Silogeki na tunguli za huu uzi aisee. Vyema kabisa, tufanye kazi tuijenge nchi yetu.we sema tu na wewe kama tunguli zimekubamba,, siku yangu imeanza fresh kabisa side yetu tuko works kama kawa..

sure,, ni ile aina ya muandiko ambao mtu ananyonga herufi (ndiyo huo wako sasa) siyo ile aina ya mwandiko ambao mtu anacharaza herufi (kama wa SweetieLee
) mie mwenyewe nina aina hiyo ya kwanza ya mwandiko halafu wangu mkubwa sasa..
Uzi ni wa picha za Code?





kumbe ndiyo maana?
Hamna shida... wengine sisi kama Wenger tuko vizuri kwenye kukuza vipaji![]()
Hii sehemu inaonesha ina hewa Safi mno kuna vutia kuishi.
Haha. Silogeki na tunguli za huu uzi aisee. Vyema kabisa, tufanye kazi tuijenge nchi yetu.
sure,, ni ile aina ya muandiko ambao mtu ananyonga herufi (ndiyo huo wako sasa) siyo ile aina ya mwandiko ambao mtu anacharaza herufi (kama wa SweetieLee
) mie mwenyewe nina aina hiyo ya kwanza ya mwandiko halafu wangu mkubwa sasa..
Fanya kunilipa aisee.Nikulipe?
Ili atuunganishe kwenye urafiki?Ah nimuite dada yangu??