Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Hahaha ukoo wetu watoto wa kike ni wengi kuliko wa kiume hivyo nina madada nina wadogo wa kike na nina mabinamu wa kike wa kutosha tu
Halafu kati ya wote hao hakuna aliyefikisha hata miaka 30 wala hakuna aliyeolewa japo wapo ambao tayari wana watoto na wapo ambao wameshachumbiwa tunasubiri kula pilau tu (nazungumzia wale ndugu wa karibu kabisa hasa upande wa mama)
Halafu kati ya wote hao hakuna aliyefikisha hata miaka 30 wala hakuna aliyeolewa japo wapo ambao tayari wana watoto na wapo ambao wameshachumbiwa tunasubiri kula pilau tu (nazungumzia wale ndugu wa karibu kabisa hasa upande wa mama)
@karma kumbe una cousin wa kikeage yangu kabisa huyo
age yangu kabisa huyo


