Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,298
em dimples...
Ngonga Kyela.Ngonga Kyela au Ngonga Mbeya??
Hatimaye umeamua kuvunja ukimya. Kazi kwetu sasa tunaoficha sura zetu.View attachment 1265763
Miaka 7 iliyopita 😜
Ye babaHatimaye umeamua kuvunja ukimya.
#marhabaaa
#shikamoo
Fichua basi....au unakeshaga jukwaa la siasa?Hatimaye umeamua kuvunja ukimya. Kazi kwetu sasa tunaoficha sura zetu.



sijasema shikamoo (mimi siyo mtoto mwenzio),, mmepotea sana humu nyie watu nimewamiss mimi jamani..Ili ajue kwamba shemeji yangu anamsaliti
Mashallahhhh....

maana sio kwa uumbaji huu wallah, na kama sijakosea Allah alikuumba siku ya saba akiwa amepumzika kwamaana hakuwa na haraka kabisa.....Tunashukuru. Hiyo emoji umeficha nini hapo ? Ila hiyo miaka 7 nna wasiwasi nayo. Maana hapo unazungumzia 2012. Simu gani ilikuwa na Kemera yenye megapixel zote hizo za kutoa picha ang'avu kiasi hicho ?Ye baba
Jukwaa la Elimu kule.Fichua basi....au unakeshaga jukwaa la siasa?
Ndio maana nini tena?
Unataka niitoe? Myb nifanye kuisogeza pembeni... Simu Nokia lumia, usiniambie ulikuwa bado mdogo miaka hiyo mpaka ushangae hivyoTunashukuru. Hiyo emoji umeficha nini hapo ? Ila hiyo miaka 7 nna wasiwasi nayo. Maana hapo unazungumzia 2012. Simu gani ilikuwa na Kemera yenye megapixel zote hizo za kutoa picha ang'avu kiasi hicho ?
Haha kule hakuna nomaJukwaa la Elimu kule.
Suede....
View attachment 1265740