Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha............... Huyo sophy27 alikuwa anaomba kitabu nilichoposti Jana Mjukuu na sio hiko kingine 🤗

Achana na huyo Wigelekelo anayenizushia kuwa Mimi ni mfanyakazi, Babu yenu hapa ni Mkulima kama Wakulima wengine tu na huu msimu wa sikukuu tupo zetu shambani tunaandaa mbegu kwaajili ya kupanda 🤪

Na Kuhusu Christmas, karibu Sana huku Kijijini kwetu. Mimi na Bibi yenu tunawakaribisha Sana🤗

Kutakuwa na nyama choma za Kuku, Mbuzi na Samaki 😋😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…