Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa Kama Ni poker mbona alikuwa mtu mstaarabu Sana,nini kimemkuta Hadi akaamua kujiita Hilo jina la hovyo na avatar ya kudhalilisha?

Mnyonya Mbususu una shida gani mkuu? Mbona ulikuwa mtu poa sana? Au unanusa gundi siku hizi inakulewesha..!?
Kwa kweli kuna aina ya utani ukizidi ni haupendezi

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ahsanteeeeeee babuuuu kwa maneno yako ya faraja na hekima.
Nimeyachukua na kuyaweka kichwani, japoo baadhi nayafanyia kazi tangu mda mrefu

Ubarikiwe sanaaaaaa,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana
malecturer ndo walivyo nakumbuka Mzumbe muda wa chrismas ndo mnafanya supp zenu ... unafanya kwa uchungu hii ni kwa first year tu .
kuna li lecture li haya lina masifa hiloo balaaa, likianza kuelezaa mambo yake, unacheka nguvu huna, anasema yeye na mke wake wakilaka kitandan, bas kitanda kinakua kimebebaa degree 8.


Anatukomeshajeeee, jana anasemaaa "hamjaja dar kula sikukuu mmekuja kusomaaa" baadhi ya wanafunzi wa kanda ile pendwaa kwa xmass wananuna hapo, uwiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…