Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli jamani hajakosea,, ningekuwa na uwezo ningekutumia picha za huyo cousin yangu wa kike uliyefanana naye na wala hata siyo mtu mzima sana yupo kwenye early 20s and she is beautiful..

Najua wanaume hampendi kufananishwa na wanawake lakini to tell you the truth you have a girlish face (no offence) japo haibadilishi haiba yako ya kiume see it doesn't matter how you look like but you are still a man
Hebu muweke kipande tumuone....! Msalimie cusin bwana.
 
Aiseee...
Kweli jamani hajakosea,, ningekuwa na uwezo ningekutumia picha za huyo cousin yangu wa kike uliyefanana naye na wala hata siyo mtu mzima sana yupo kwenye early 20s and she is beautiful..

Najua wanaume hampendi kufananishwa na wanawake lakini to tell you the truth you have a girlish face (no offence) japo haibadilishi haiba yako ya kiume see it doesn't matter how you look like but you are still a man
 
Kweli jamani hajakosea,, ningekuwa na uwezo ningekutumia picha za huyo cousin yangu wa kike uliyefanana naye na wala hata siyo mtu mzima sana yupo kwenye early 20s and she is beautiful..

Najua wanaume hampendi kufananishwa na wanawake lakini to tell you the truth you have a girlish face (no offence) japo haibadilishi haiba yako ya kiume see it doesn't matter how you look like but you are still a man
Ok Nimekubali.. sio wakwanza kuniambia kua nafanana hvo.. Japo sipendi hii situación mama etu ana dam kali waswahili husema. Afu wakike kwetu wamefanana na dingi sie ma man wa kiume.
Fanya kunikutanisha na huyo Cousin
 
Kinyerezi watu washaanza amsha amsha za x mass
 

Attachments

  • FB_IMG_1574009395884.jpg
    FB_IMG_1574009395884.jpg
    152.7 KB · Views: 9
Ok Nimekubali.. sio wakwanza kuniambia kua nafanana hvo.. Japo sipendi hii situación mama etu ana dam kali waswahili husema. Afu wakike kwetu wamefanana na dingi sie ma man wa kiume.
Fanya kunikutanisha na huyo Cousin
Yeah you are so cute,, huyo cousin yangu sijui kama atakubali maana hata JF tu hayupo na sidhani kama hata anaijua kwahiyo nikimuambia kuna mtu wa JF anataka kuonana naye itabidi nimuelezee kwanza JF ni nini kabla sijamuelezea lengo la wewe kutaka kuonana naye..
 
Back
Top Bottom