Selfika na JF: Snap it. Show it

Panaitwa Kilima Hewa ndani ya Wilaya ya Mvomero . Ndio naishi maeneo haya , oh it is always good to visit some places .
Ni sehemu gani kwani hapa? Moro huwa napita tu nikiwa safarini ingawa nishafika Dakawa na kukaa kama mwezi

Napenda tembea ujue, siku moja panapo majaaliwa nitafika huko...

Bila shaka weye ni mkazi/mwenyeji huko
 
Okay thanks, nitagoogle kujua habari zake zaidi, pengine siku moja nikafika huko hususani kama kuna mambo ya kilimo (sisi wengine hatutupwi na jembe)...

Yeah, it feels good to go around and meet new stuff n peeps...
Panaitwa Kilima Hewa ndani ya Wilaya ya Mvomero . Ndio naishi maeneo haya , oh it is always good to visit some places .
 
Kweli jamani hajakosea,, ningekuwa na uwezo ningekutumia picha za huyo cousin yangu wa kike uliyefanana naye na wala hata siyo mtu mzima sana yupo kwenye early 20s and she is beautiful..

Najua wanaume hampendi kufananishwa na wanawake lakini to tell you the truth you have a girlish face (no offence) japo haibadilishi haiba yako ya kiume see it doesn't matter how you look like but you are still a man
Jamaa mzinguaji tu huyo.. kipigo kingemuhusu huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…