Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜…πŸ˜… mapenzi ili ufurahi usiyachukulie serious sanaaa kivilee, yaona kama yapo yapo , alafu develop sana ushkaji na mwenza kuliko kuwa wapenzi.. hapo utapona ila bila hivyo jiandae kisaikolojia
Nilikuwa sijuagi hii kitu aise…nikiwa na mtu nastik nae huyo huyo sasa unakuta mwamba mwenyewe muda wote anawaza mizizi ya bangi basi fulu kilioπŸ˜”πŸ˜”

Baada ya kujifunza kutokukachi feelings kivile basi maisha ni fulu kitonga yan πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kuna mtu juzi kaniuliza "huwa unapenda kweli au unaigiza?"

Kuna maisha nje ya mapenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… chit-chat hapa 🀣🀣🀣 sio ya serious sana namuita tu huyu mmachame hapa ana deni langu
Hapana bhana…

Deni lako lifuate pm.
Yawezekana kakumimina kapata doni halafu unaleta hii michoro ya kiwaki mwisho umpeperushie doni wakeπŸ˜‚πŸ˜‚

Wallah nitashirikiana nae tukulogeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kuna mtu juzi kaniuliza "huwa unapenda kweli au unaigiza?"

Kuna maisha nje ya mapenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi bado yapo aise sema ndio vile mnawindana.

Binafsi nikupenda nakuwa kama phaller na ninakuwa na utulivu wa kamakitoto cha nyau..tatizo sasa unajikuta umezama Kwa docta manyau nyau

Mbwa kala kitoto cha ngedereπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

This thing called mapenzi ni uto fc
 
Hapana bhana…

Deni lako lifuate pm.
Yawezekana kakumimina kapata doni halafu unaleta hii michoro ya kiwaki mwisho umpeperushie doni wakeπŸ˜‚πŸ˜‚

Wallah nitashirikiana nae tukulogeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… banaa wee Depal mtani wangu.. mtu asichukulie serious kabisa.. mtani wangu toka zamani sana.. hata convo zetu humu ukiangalia ni za utani utani hatujawai kuonana hatujawai ongea hatujawai ji PM πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hanijui simjui ni kama vile dogo langu Lenie navyolitania humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…