Selfika na JF: Snap it. Show it

Una list ndefu ya walio kuacha? Au ulio waacha?
sitaki kuamini nawee huwa una achwaa, nweiiiiiiiii.
Ni bora mtu umuambie ukweli mapemaa kabla hamjazama mapenzini ili afanye maamuzi, akikutwa na jambooo asiwe wa kumlaumuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hesabu 6: 24-26

Bwana akubarikie na kukulinda,
Bwana akuangazie nuru za uso wake ..na kukufadhili,
Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani,
cocastic ❤️
 

Dadaaaa wa damuuuuu, hizi sifaaa zote ni zanguuuuu??
Ahsanteeeeee kwa kunipendaaaa na kunifanya nifurahi mda woteee.
Ccter akee chibongeeeee,
, na iwe hivii mileleee.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…