Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Aisee shem 🤣🤣🤣🤣Muweke wakuibie bwana wako uandae makala ya uzi mrefu kama ujauzito wa mapacha![]()
Aisee shem 🤣🤣🤣🤣Muweke wakuibie bwana wako uandae makala ya uzi mrefu kama ujauzito wa mapacha![]()
😂😂😂Kumbe humu watu wanaibiana 😂😂Muweke wakuibie bwana wako uandae makala ya uzi mrefu kama ujauzito wa mapacha![]()
Mara wa Tisakaukalie sasa![]()
Shemeji languNa picha
Hawana gharama haoNjoo naye shem
Useme kabisa anapendelea msosi gani niwaandalie
Nae utaanzaMniandalie maembe jamanii
my sweetpiee jeeeshiiiiii The one and only beibeee![]()
Waletreeeeeeee.... acha tubadili radha hukooo!!
ushukuru ulikwanguliwaaa mwanzo mwanzoo![]()








mwenzio nipo juu ya salio, yaan bundle la nyongezaaaa. Nilifeli aisee nilidumbukia miguu yote sema mimi siwezi danganya ndo manaa ... Sijui ilikuwaje nikawa na karoho hiki .





dear hivi ni kweli umeumizwaaa au unatu enjoy hapaa? We ni MsafwaWaaah
Asantee MUNGU jioni imefika
LolView attachment 2449176
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
wafundishe... ila mbona mie naingiaga miguu yote na sipatwi na kitu.. shida kuhisi unakufa nae






sasa wee nae unaingia miguu yote, akili iko mikononi hapooo tyuuh. Kimya kimya inaitwa
Utajijua mwenyewe hahhaa








alikuacha km cancer taratibu taratibu afu kimya kimyaa. KhaaaaaahSasa watu wanakataaa uongoooo, tatizo udanganyifu hapo tyuuh!!mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea tu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweli
Nachekaaaa km chiziiiiii,Hamjadumu hata miezi 7 unaliaaa ujue something wrong![]()





