Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti eehh!! sawasawa!! nilikua sijui!!

Sasa mtu anasema alikuacha si aachane nawewe mazima Kwanini anakusumbua sumbuaa ??? Mtu anaonesha kujutia kabisa ilhali ishapita miaka kibao all these years wee umekaa tyu kwa ubaya ganii?? Kuna watu ni hawajielewi!

Afu mtu yeye ndio anakusumbua anenda kugeuza kibao etu wewe ndie unamsumbuaa khaaahh ni upuuzi!
Doh
Mtu tuliyachana nguvu za kunitafuta sijui anazitoa wapi!
Sijibu...kelele zikizidi namlima block asinijazie simu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom