Selfika na JF: Snap it. Show it

🀣🀣🀣🀣

Na nimekuquote tena ole wako usijibu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukoje lakini
Unanimalizia chaji ya kuzungumz me baadae
 
Nilifeli aisee nilidumbukia miguu yote sema mimi siwezi danganya ndo manaa ... Sijui ilikuwaje nikawa na karoho hiki .
 
Asante kwa kukaziaaa mjombaa😎!!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea tu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweli
 
Depal ndio anatabia ya kulia
Em kuja usome ujumbe wako huku 🀣🀣
 
Utataka

Na next week tunatuma nauli utajua hujui🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivi watu wanajua kama wewe ni mkorofi sana??


Nitumieni nile 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…