Selfika na JF: Snap it. Show it

Hebu shangaa na wewe Coca
Huyo jamaa atakuwa na undugu ya Shetani,si ajabu ni Ankoli wa mapembe.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ njoo nikupe Nanii uchat nae
Nimeona sms yake hapa, naongea na simu nikimaliza namjibu

Ila ni mchokozi sana 🀣🀣
 

Wala usijione mjinga na Wala usijihukumu.
Kutokujua siyo kosa lako.

Ni yeye tu ameamua kufanya ushenzi wa kishenzi.

Ilikuwaje mkaachana?
Ulimkosea?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Ni ile unampenda MTU ila yeye hana habari
Hakuna kosa nililofanya
Najionaga sijui kuangalia mtu nawazo yake .. Naamini watu easy kweli hapo ndo nafeli
 
Ko sisi wa la 7D ndo umeamua yasituhusu? Dhambi hizi lakin.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakusisitiza tena, wanaume baba yao ni 1. Kuwa makini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongezaaaa sautiiii puliiiiiiiizzzzzzz

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahhaahhhh
Mweh mnanijaza jamani hivyo vyote nimevitolea wapi hahahaaa

wanaume ndo wanapenda kuutumiza sie wapole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…