Yeah kunyoa ni raha
Sasa hivi bei za vitu zipo juu ,ununue mafuta ya maji , gel, mafuta ya mba , hairspray , conditioner na kasteaming .
Bado hujaenda saluni hapo
Naunga mkono hoja ....
Jaribu waweza pendeza my dear...Mimi kope hapana kwakweli niliwahi jaribu weka zile za moja moja..kutoka salon Hadi nafika home jicho moja sinazo ..machozi Sasa