Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena ukute ndio umeenda kuretouch na steaming, unakaa kwenye moto hadi ukitoka hapo unaumwa kichwa.

Ile ya steaming ndo kiboko aiseee inauma , mimi nawaambia nataka unifanyie moja kwa moja ile ya kukaa kwenye dryer ..

Nashangaa wengine huwa hadi wanalala kwa ule moto
 
Ile ya steaming ndo kiboko aiseee inauma , mimi nawaambia nataka unifanyie moja kwa moja ile ya kukaa kwenye dryer ..

Nashangaa wengine huwa hadi wanalala kwa ule moto
Yaani hao wanaolala mwenyewe hua siwaelewi 🤣

Me nilinunua hand dryer so nilikua najifanyia mwenyew kuosha napaka leave in conditioner.
Nikaepukana na mateso ya ule moto wa salun
 
Yaani hao wanaolala mwenyewe hua siwaelewi 🤣

Me nilinunua hand dryer so nilikua najifanyia mwenyew kuosha napaka leave in conditioner.
Nikaepukana na mateso ya ule moto wa salun

Mie siwezi vumilia ule moto maana unaupenya ile mbaya. Naachia dryer tu kwa juu ... Akitokea narudisha .

Dryer la mkono linasave sana ,huhangaiki ni fasta tu .
 
Back
Top Bottom