Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa mm si ndio nitashindwa hata kukata kitunguu? 😀😀

Wanawake wa Dar na vitu vyenu hivo


Nakuona ulivyotype huku picha yake imekujia taswirani 💃
Hata kujisugua vizuri mwilini utashindwa🤣🤣🤣
Zijaribu ila uweke size fupi ambayo haitakusumbua

Achaaaa didi ake😂😂
 
Ndio, ila kama unaparangana na boda boda na mwendokasi bora tu kutobandika miguuni

Kha kwenye daladala inakera mtu akukanyage dah , hapo mmebanana hakuna hata pa kushikilia.
Ukishuka kucha ishakatika
 
Back
Top Bottom