Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,824
- 57,424
Huyo ni yule first born wangu 🤪Kwahio huyo sio wewe babuu? Ebu fanya kuselfika kwani hutaki wajukuu zako tukujue vizuri eeh!?
Next time Bibi yenu akiridhia nitaweka moja 🤗
Huyo ni yule first born wangu 🤪Kwahio huyo sio wewe babuu? Ebu fanya kuselfika kwani hutaki wajukuu zako tukujue vizuri eeh!?
Kumbe ni yeye?? Kasema huyo ni mjukuu eti! Mie nataka Full yake unayo unitumie??
Kwanza bundle enyew lipo, hapa nasubir likate, tukutane tar 17, huu mwaka uishe jaman, ntakufa nimechoka sanaaaaHebuu nikuone one time Shoss akee kitrrambo sana ujue fanya kunibless nikazie hii shibe mie!!
Unakijua kiitaliano?
Sawa babuu usijareeee✌️✌️✌️!! Ukiweka usisahau kunitag pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! Uwe na Trip njema uendako!!Huyo ni yule first born wangu 🤪
Next time Bibi yenu akiridhia nitaweka moja 🤗
Kumbe ni yeye?? Kasema huyo ni mjukuu eti! Mie nataka Full yake unayo unitumie??





naitoa wapi mieee sasa? Hahahaha..............pole Mkuu, Shule ya Mlimani na Ardhi ziko hivyo.Tatizo cc hatuna likizo ya xmass, kuna li lekchs limesema tar 24 usiku eti pepa mxxxieeeeew.
Linaboaaa hili Li baba khaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka mchumba au Mwalimu kiitaliano?🤣
Usijareee kabesaaa shoss angu!!Kwanza bundle enyew lipo, hapa nasubir likate, tukutane tar 17, huu mwaka uishe jaman, ntakufa nimechoka sanaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha..............pole Mkuu, Shule ya Mlimani na Ardhi ziko hivyo.
Uzuri wake ndiyo uko last year, so mwakani muda kama huu utakuwa unazunguka na bahasha kuomba Ajira![]()





huu mwaka uisheee nipumuee kwa kweli, Usijali MjukuuSawa babuu usijareeee✌️✌️✌️!! Ukiweka usisahau kunitag pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! Uwe na Trip njema uendako!!
Mbeya au Dar???





nipo na X Wee tuliaaa, au mchapo huku upataaaa?? JF watu watakufa ulimi nje. Nimevimbiwa hapaa Shoss Nacheka hadi nataka kubeua ujue!!🤣🤣🤣🤣😁😁
Sielewi hata nipo wapiKiuno nyigu Uko
Mbeya au Dar???







Heenipo na X Wee tuliaaa, au mchapo huku upataaaa?? JF watu watakufa ulimi nje.
Sent using Jamii Forums mobile app