Mkapeana.......Kisha?
Mikono😜
Mkapeana.......Kisha?
Nimecheka kwa nguvuNa wanapita kweri kweri sio masihara walai 🤣🤣🤣🤣🤣!!
Hee kwanini tena?Alipigwa ban jana
Kabisaaaa!! Ukipata muelewa aaahh mnacheka mnafurahiii na bwana enu wenyewe..kutana na kisirani sasa utapigwa vijembe hadi ukome 🤣🤣🤣🤣As if yeye ndie alieanza ukamuingilia au ukaja nyuma yake! Kuna watu wanakompliketi sana maisha Hakyanani🙌🙌🙌🙌🙌Bora kupendana tu kwakweli😂😂
Nani kamshikilia nambie nimjuewho which why 🤣🤣🤣 cocastic hajaachiwa tyu??
Tumepigwaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣 kumbe kila mtu alifatwa kwa muda wakeKabisaaaa!! Ukipata muelewa aaahh mnacheka mnafurahiii na bwana enu wenyewe..kutana na kisirani sasa utapigwa vijembe hadi ukome 🤣🤣🤣🤣As if yeye ndie alieanza ukamuingilia au ukaja nyuma yake🙌🙌🙌🙌🙌
Jana waliwakiana huko jukwaa la sports kwenye uzi wa World Cup wote wakapigwa ban! Ila inaisha soon atarudiNani kamshikilia nambie nimjue
Unajua Nini dadakeKakake unaitika hata sijakuita
Waliwakiana na mtu huko uzi wa WCHee kwanini tena?
Pole yake jamaniWaliwakiana na mtu huko uzi wa WC
Zamani hapaMy sweetdaddie is coming dear wamekaa huko muda mrefuu hadi sio poa!!!
Na mambo mengine mengi hayaelezekiii dear
Dec hainaga baya na mtu, labda tu uwe na stress zako 😂Unajua Nini dadake
Desemba haina(ga) mambo mengi
Kuanza tu
Wikiendi tayari
AntonniaKiasili wapi mwenzangu hapa nilipo nimeungua ngozi kiherehere cha dawa kimenishukaView attachment 2433416
Nakwambia!! wanawake tuna matatizo sana!!!!🤣🤣🤣🤣 kumbe kila mtu alifatwa kwa muda wake
KhaaMimi nimetulia tulii jirani wala sina papara
Ila kuna nafasi moja bado jirani
DadakeI can imagine how happy you are na venye utakua likizo aah enjoy usijibakishe hata tone![]()

Chokozi wewe
Endelea kuchaguamie nayaweza wapi
wake zako waje wanichambe mie akhu , I will be starring at them tu .