Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Kiasili wapi mwenzangu hapa nilipo nimeungua ngozi kiherehere cha dawa kimenishukaView attachment 2433416



Umependeza Mama Wige Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kiasili wapi mwenzangu hapa nilipo nimeungua ngozi kiherehere cha dawa kimenishukaView attachment 2433416



Umependeza Mama Wige hahah kweliUkiona huwezi kuwachamba unawarushia mchanga usoni, usikae kinyonge
Watu tunatofautiana, wengine ndio raha yao hiyohahah kweli
mkiwa wengi hivyo shida ,sijui wanawezaje aisee .
Na hizo hekaheka wanawake tunaziweza kweli kweli umjue mke mwenzio Alooooooohh 🤣🤣Ukiona huwezi kuwachamba unawarushia mchanga usoni, usikae kinyonge
Hahah mpaka niwe nimevurugwa ndo nitawajibu otherwise watanionea tu .Na wewe unawachamba madam alaf mimi nakuja kuwa tuliza, huoni Haji anavyo enjoy😁
Ndio mpaka ukute wanapendana sasa!! Mie uke wenza 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌! Heko kwa Wenye mioyo yaoHahah mpaka niwe nimevurugwa ndo nitawajibu otherwise watanionea tu .
Haji anaenjoy kweli Sasa hivi anakula tu maisha , halafu wakeze wanapendana mno .
duh balaaWatu tunatofautiana, wengine ndio raha yao hiyo
Yah Mimi pia siweziNdio mpaka ukute wanapendana sasa!! Mie uke wenza 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌! Heko kwa Wenye mioyo yao
Hahahaaa wanaume wenyewe wa kupita hawa, mshatoana macho ye anaenda kwa mwingine pisi kali anajipatia utulivu kiroho safiNa hizo hekaheka wanawake tunaziweza kweli kweli umjue mke mwenzio Alooooooohh 🤣🤣
Uchoyo huoo🤣🤣🤣Hahahaaa wanaume wenyewe wa kupita hawa, mshatoana macho ye anaenda kwa mwingine pisi kali anajipatia utulivu kiroho safi
Uchoyo gani jamani 🤣🤣🤣🤣Uchoyo huoo🤣🤣🤣
Umeona eeehhhhhh!! Nyie mnaishia kugombanaaa rushiana vijembeee yee huyooo 🤣🤣🤣🤣🤣!!Hahahaaa wanaume wenyewe wa kupita hawa, mshatoana macho ye anaenda kwa mwingine pisi kali anajipatia utulivu kiroho safi
Alipigwa ban janaNa nimemmiss leo
Na wanapita kweri kweri sio masihara walai 🤣🤣🤣🤣🤣!!Hahahaaa wanaume wenyewe wa kupita hawa, mshatoana macho ye anaenda kwa mwingine pisi kali anajipatia utulivu kiroho safi
Kisha?Nilikutongoza
Bora kupendana tu kwakweli😂😂Umeona eeehhhhhh!! Nyie mnaishia kugombanaaa rushiana vijembeee yee huyooo 🤣🤣🤣🤣🤣!!
🤣🤣🤣🤣🤣!Uchoyo gani jamani 🤣🤣🤣🤣