Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Mhola nhoi ntaleAnaolewa na Daktari. Huyu mpwa yaani basi tu. Ukoo wetu tumemkosa kizembe sana!
Mhola nzunaye?
Ūlīmahe?
Nhenasuma
Nde mu ng'wani
Mhola nhoi ntaleAnaolewa na Daktari. Huyu mpwa yaani basi tu. Ukoo wetu tumemkosa kizembe sana!
Mhola nzunaye?
Ūlīmahe?
Ninao pia huo, naupenda.mzuri sana
Dr.ipyana yupo vizuri nyimbo zake zote nzuri ,kuna mmoja unaitwa Kama si mkono wako .
Kha kwa ubabe huo no wonder mpingo alikosa utulivu 😂Unapiga piga, hupigi jikatae
Binti mzuri nikitoka nje nadaka vocha kama mvua au?
Na huu mmoja nilikuwa sikuelewiNinao pia huo, naupenda.
Nyimbo zake nzuri na hazichoshi kusikiliza muda wote.
😂😂😂 nikubembeleze ili iwe nn?Kha kwa ubabe huo no wonder mpingo alikosa utulivu 😂
Siufahamu huo, ngoja niucheki hapaNa huu mmoja nilikuwa sikuelewi
unaitwa hata Hilo litapita kaimba na Paul Clement. ni mzuri pia
Habari ya asubuhi lakini ?
Mwenyewe nashangaa 😂😂😂😂 nikubembeleze ili iwe nn?
Nzuri sweetheartNa huu mmoja nilikuwa sikuelewi
unaitwa hata Hilo litapita kaimba na Paul Clement. ni mzuri pia
Habari ya asubuhi lakini ?
African queenCall me African queen
Happy new month aunt😍Mlioahidiwa mtaolewa na mlioahidi kuoa mwaka huu nawakumbusha zimebaki siku 30😂😂
Happy new month
Blaza uhali ganiAfrican queen
Niko salama tu dadaBlaza uhali gani
🤣🤣 mimi huyoooNiko salama tu dada
U hali gani wewe kibwengo?
Leo usibanguke hapa chalii🤣🤣 mimi huyooo
Sina hali hapa as sina vocha
Nifanyie basi mpango, juzi ukanidanganya daah
nyimbo za dini huwa zinafariji sana , ukisikiliza unapata faraja sana .Siufahamu huo, ngoja niucheki hapa
Huku kwema dear, Mungu ni mwema, vipi wewe huko.
Hii nyimbo ina dk 10:34 mwee inahitaji utulivu wa hali ya juu kuusikiliza wote na kuconcentrate.Na huu mmoja nilikuwa sikuelewi
unaitwa hata Hilo litapita kaimba na Paul Clement. ni mzuri pia
Habari ya asubuhi lakini ?
Kukimbilia sitaki, nimeshastaafu mie umri hauniruhusu tena ujue.Leo usibanguke hapa chalii
Mzigo utapanda wa kutosha
Salama tu dear
Aliyekupa stress ndo akufarijiHii nyimbo ina dk 10:34 mwee inahitaji utulivu wa hali ya juu kuusikiliza wote na kuconcentrate.
Ina maneno mazuri yenye faraja 😍