Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani. Mi 65+ kweli unanipachika udogo wako. Siyo kwamba unipe ukaka mkubwa na shikamoo juu tena huku ukiwa umepiga goti chini kama mabinti wa Kisukuma?

Tuvumilieni tu; na kama ilivyo mtaani, wote humu si mafurushi/mambwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Usijali, 65+ utaifikia tu mdogo wangu. No need to rush kama Watu8
 
Nimekupata kamanda. Hatuwezi kufanana. Na katika utofauti wetu ndimo mna maana halisi ya maisha kama yanavyoishika katika kasayari haka kazuri tulikopewa tukaharibu. Tutakwenda kufanana mbinguni/jehanamu [emoji16][emoji16]
Word.. I once told you!!.
Kila mtu ana Values zake ambazo zinamtofautisha na wengine.. So Cha msingi ni Amani na Upendo..Tuzidi kulisongesha hapa duniani
 
Back
Top Bottom