Selfika na JF: Snap it. Show it

Haapana its okay hata camera za simu (iphones, samsung, huawei etc)zina software ambayo ni built in inaweka filter kwa kiasi fulani, kutumia filter sio ku cheat, its okay
Thank you very much
natamani wabongo wengi tungekuwa na mtazamo huo .
Sasa iPhone wanaikubali na sio Snapchat .
 

Uwiii mbona sio vitu vyangu dyadyaaaa


Ila hapo at least no 4&9,, the rest akinitongo.za saa 1 kamili asubuhi, saa 1 na dk 5 ashakula block 🥹
nyiee nacheka km chiziiiii. Jaman mbna mie naposema niweke miguu nikae naonekanà sio penyeweee.

Nyie hapo mnataka hawa wa kuvaa official? Mie casual ndo nawa elewaaa, uwiiiih
 
Hahaha na unajua jinsi ya kuwateka
masikini hadi nimemuonea huruma
kungwi Kama kungwi upo vizuri , watu wanadata wenyewe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…