In caveman days wmanaume ambae alikua mpambanaji ndiye ambae watoto wake walikuwa wana chance kubwa ya ku survive, unafikiri kulikuwa kuna magari, majumba na pesa? vitu vimekuwa transformed tu, kwanza unajua maana/utofauti kati ya financially stability na utajiri?
Sasa siwezi ongea na mtu hana gender nitakuwa naongea na robot la google, huna experience yeyote ya ku chase mwanamke, huna experience ya kuwa provider, huna experience ya vitu vingi thats why una date na hao watoto wa miaka 23.. thats unaongea wewe kama wewe who are you a guy, girl or something else...?