Selfika na JF: Snap it. Show it

Pumzi ipo ya kutosha dada yangu ☺️☺️ maana situmii aina yoyote ya kilevi wala kivuto so mapafu yangu na figo kama za mtoto mchanga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mie huwa ni majii kwa wingi madafu na majani majani
Wanaume wasiokunywa pombe wala kuvuta sigara wanapenda chini kuliko chakula
Wifi nampa pole sana maana watu kama nyie na kupenda chini ni kama pete na kidoleπŸ™Œ
 
wee pilot hebu kwani nichekeeee, khaaaaah. Unajuaga kunifurahishaaa mnooo.

Nikuulize swali? Wee unaongeleaa wanawake na hayo madai yako kwan wee ni mwanamke? Utajitetea eti kwa sababu una date na hao wanawake, je wee mitazamo na misimamo yao unaijua? Wanawake woteee??? Hata hao ulio date nao ndo walikuambia kuwa wanawake wote wako hivyo? Na hata km wao walikua/wapo hivyo ndo indicate ya wanawake wote? Au wee ni fikra zako?

Bas hauko sahihi na uko wrong kabisaaaa, kila mtu ana machaguo na maamuzi yake ktk kila jambo, hata ikiwa common kwa gender au jamii yake. Tusidanganyane hapa.


Mie nna gender, na Sex pia. Ila sio muhimu ktk mjadala huu. Naongea mie km mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…