Kwanza kaa ukijua hakuna mtu hapendi maisha bora, hakuna maisha bora hakuna pesa tusidanganyane, ukiwa na pesa una afford better life, kingine kibailojia wanawake wanapenda wanaume ambao wapo stable financially kwa sababu ya watoto wake waishi vyema.
Mwanaume ni tofauti ye haangalii pesa ana vutiwa na muonekano, munekano mzuri ni kiashiria cha afya, hii ina improve afya ya watoto wake , pia muonekano wa mwanamke inaongeza hamu ya tendo(libido) kwa mwanaume kuweza kumpa mimba mwanamke na kuanzisha kizazi... Kumbuka hiki kitu hufikirii bali ipo kwenye DNA, ni programu ipo ndani...