Kheeeeeh sasa kwa mwanaume nafuata nn? Kunyanduliwa baas, kuhus pesa akinipa yes asiponipa yes, ili hali nampendaaa na nimeridhia kuwa nae.
Kwan kabla ya kukutan au kuwa na yeye pesa, matunzo au maisha yangu yalikua yanaendeshwa na nan?
Sijawahi ingia kwenye mapenzi kisa pesaaa noooopeeeeee!!!