Kibiashara ka fail, chumbani usiku hulali hadi watapo zima mziki zile baa zote za yale maeneo na pakikucha kelele za kijamii maana ni barabarani, nilijuta siku nimeenda lala pale mana hotel zote siku hiyo nilikuta zimejaa ila pale pako wazi, ile usiku ndio nikajua kwanini. Nilicho wapendea vyumba vikubwaa sana, na bafu nzuri zina maji mazuri sana unaweza shinda bafuni na hata suite yao ni bei chee kabisa.. Ila ndio hutolala