Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Yani wewe🤣🤣🤣Ameeen![]()
Yani wewe🤣🤣🤣Ameeen![]()
Switzerland vs Cameroon
Tanesco sijui kuna shida gani sikuhizi!!🤣🤣🤣🤣🤣! Hapa nimechaji Simu ipo full natumia kwa step!!Bora wewe hata unaandaa Mb
Sisi wengine tunawasikilizia Tanesco
Hongera Madam,unajenga taifa.
View attachment 2425703
Weee tukejelii tu wabushi navisimu vyetu vya kufunga na mpira hata hatujareeee! Mujini mfunge mpira mchekwe thubutuuuu!!!😅😅😅 nipo nyuma ya keybod na ki iTel changu hapa, nimekifunga na mipira, alafu unaniuta wa mjinj.. Hizi social net sinaficha mengi sana na sie tuonekane wa mujini.. Nipe dili nije kulima kwako
Shangazi nipe mchongo wa kukusanyia karatasi baada ya kusahihishaTanesco sijui kuna shida gani sikuhizi!!🤣🤣🤣🤣🤣! Hapa nimechaji Simu ipo full natumia kwa step!!
Ningepaangwa form 1 huko mitihani wa 2 hours vilaza dakika 45 washamaliza..wale majiniaz lisaa 1 tu! sasa Sasa hawa 5 sijui six 3 hour mtu ni kuongeza karatasi tu hadi muda utimie ndio wananyanyuka!
Ila ombi langu vipi kwamza, si unajua mtoto wa watu nimeozaa 😔😔😔Weee tukejelii tu wabushi navisimu vyetu vya kufunga na mpira hata hatujareeee! Mujini mfunge mpira mchekwe thubutuuuu!!!
Asante dear! Hope Umeamka poa mamaa!!Switzerland vs Cameroon
saa saba
Uruguay vs south Korea
saa kumi
Portugal vs Ghana
saa moja
Ombi gani????????!😳😳Ila ombi langu vipi kwamza, si unajua mtoto wa watu nimeozaa 😔😔😔
Nyuma ya keyboard shangazi.. JF kuwa mnyonge ni kupenda mwenyewe 😅😅
I'm okay vipi wewe bi .mmoja 😂😂Asante dear! Hope Umeamka poa mamaa!!
Si lile ombi shangazi 😊😊 mbona hivyo lakini...Ombi gani????????!😳😳
Keyboard inatufichia mengi sana kwakweli!!
Utanisaidia kumark multiple choice matching items na Short answers!!!! Ulivo mvivu sasa utaweza wewe kweli???Shangazi nipe mchongo wa kukusanyia karatasi baada ya kusahihisha
Wewe kwa akili zako Ngoja tu nikomae mwenyewe!! Akili zako mbili kasoro wewe 😁😁😁😁🤣!Si lile ombi shangazi 😊😊 mbona hivyo lakini...
Jf ishukuliwe, tunavimba tu humu 😅😅😅 umaskini wa humu labda utake... Huniiti kuja kulima
Nitaweza vizuri kabusa, yani hapo faster tuuu 😊😊Utanisaidia kumark multiple choice matching items na Short answers!!!! Ulivo mvivu sasa utaweza wewe kweli???
Lakini unajua nguvu ya mwanamke, unaweza mfanya mwanaume utakavyo shangazi 😅😅Wewe kwa akili zako Ngoja tu nikomae mwenyewe!! Akili zako mbili kasoro wewe 😁😁😁😁🤣!
Niko poa sana kipenzi !! Bi. mmoja 😁😁😁😁🤣🤣!! Kwanza macho manne😎 Yukwapi ???I'm okay vipi wewe bi .mmoja 😂😂
Sio mwanaume wewe!! Wee umeshindikana mjomba!!Lakini unajua nguvu ya mwanamke, unaweza mfanya mwanaume utakavyo shangazi 😅😅
Hutaweza acha nikomae kibishi😁!Nitaweza vizuri kabusa, yani hapo faster tuuu 😊😊
😊😊😊 Shangazi banaaa.. Haya tuuuSio mwanaume wewe!! Wee umeshindikana mjomba!!
Sasa shambani na kumfanya mwanaume utakavyo kivipi mjomba??🤭🤣🤣🤣🤣
Nilipata B ya kemia, B physics B hesabu 🤣🤣🤣🤣🤣 mambo ya jf haya.. Huku na type na ki iTel changuHutaweza acha nikomae kibishi😁!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Akili zako sasa!!Nitafutie mchumba basi
Chondechonde usisahau kunifundisha kusafisha kwapa