Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hayupo humu ni kweli lakini yupo sehemu katulia tuliiii…
Shem Pep fanya mambo chap maana kuna watu huku wanmuwinda huyu chaubishi wako kishenzi





Mimi ni dadako ujue…kuna kalamu naziona humu zinacharaza mwandiko kishenzi yani
Hakuna wa kuniwinda jamani
Na uzee wote huu
Mmxxcieeewww ! akili yako inawaza
masaa yote!!!!!Mimi ni dadako ujue…kuna kalamu naziona humu zinacharaza mwandiko kishenzi yani




😋😋😋😋 Kazi sina shangazi, wewe mwenyewe kazi ya kulinda shamba umeninyima 😊.. Sasa huku nakula machakula manguvu kibao sina pakuzipeleka zaidi ya huko 🍑🍑.. Mzima lakini shangazi wangu 😇Wee Mjomba akili yako inawaza🍑 masaa yote!!!!!
And vice versa is true!!Hujambo biharusi mtarajiwa

And vice versa is true!!
Lisemwalo lipoooo kama halipo lajaaa!!
Kila la kheri Wapendwaaa
Ndoa ni Jambo jemaaa na la Baraka!!
Natabiri!
Hebu hukooooo
Hakuna
Msimu wa mvua huu hizo nguvu zako ukizielekeza kwenye kilimo utabarikiwa zaidi!!Kazi sina shangazi, wewe mwenyewe kazi ya kulinda shamba umeninyima
.. Sasa huku nakula machakula manguvu kibao sina pakuzipeleka zaidi ya huko
.. Mzima lakini shangazi wangu
![]()
Si tulishafunga ukurasa jamaniHebu hukooooo

Nipe kazi sasa shambani kwako huko 😅😅😅 nakulima bure kabisaMsimu wa mvua huu hizo nguvu zako ukizielekeza kwenye kilimo utabarikiwa zaidi!!
Huyu Chakorii tunakula pilau soonAnd vice versa is true!!
Lisemwalo lipoooo kama halipo lajaaa!!
Kila la kheri Wapendwaaa
Ndoa ni Jambo jemaaa na la Baraka!!
Natabiri!

Huyu Anne huyu mbishi sana..And vice versa is true!!
Lisemwalo lipoooo kama halipo lajaaa!!
Kila la kheri Wapendwaaa
Ndoa ni Jambo jemaaa na la Baraka!!
Natabiri!
Unaruka ruka kama popcorn..Huyu Chakorii tunakula pilau soon![]()
KhaaaHuyu Anne huyu mbishi sana..
Ndoa ni jambo jema sana tumuombe mdogo wetu huyu
Na ikawe kama unenavyo![]()


Ni yule yuleUnaruka ruka kama popcorn..
Haya uniletee na huyo mchumba sasa
Amen!! Amen!! Ishaandikwa hio ni lazima tukule pilau!! We believe!!Huyu Anne huyu mbishi sana..
Ndoa ni jambo jema sana tumuombe mdogo wetu huyu
Na ikawe kama unenavyo 🥰🥰
ajua basiii…mimi mwenyewe nawategemeaga wewe na T