Hahahaha so unapajua hapo?? Anyway uje tupate a cup of cofeee
Hujakosea mkuu
Goood morning from this side
Yeah pote hapo napajua sema sie kwetu ni kule mbele ukivuka songas,, ila kwa sasa sipo huko..
Okay....! Kule kunaitwa kichangani. Eeh..mara kwa manager wa songas.
Msambiazi hiyo au
Yes. Nmepakumbuka hiyo njia ya zabhika ina mchanga mwingi kwa mbele unakunja kona unaenda kukutana na boda boda wengi. Kisha ndio unakuta lami. Lami inayoenda kutokea darajani. Near majumba six.Hahaha no unaifahamu shule ya msingi Zabikha Islamic,, yaani ukifika kwenye ile fence ya Songas unakunja kulia unaendelea mbele hadi sehemu inaitwa Kibaga kama unaenda Ulongoni hivi kule wanakojenga barabara sasa hivi ndiyo huko huko..
Picha imepigwa hapo. Sio kwetu lakin. MkuuKumbe kwenu ni kinyerezi
Yes. Nmepakumbuka hiyo njia ya zabhika ina mchanga mwingi kwa mbele unakunja kona unaenda kukutana na boda boda wengi. Kisha ndio unakuta lami. Lami inayoenda kutokea darajani. Near majumba six.
Kumbe ni mwenyeji. Haha