Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Amen dear 😍Ni njema
Mungu ni mwema
Amen dear 😍Ni njema
Mungu ni mwema
Soon tuu.. ntakua karbu na TV.. japo mambo ni meng hapa ila tajitahidi🥱🥱🥱🤣🤣 washaanzanipo macho kodo
njoo tuangalie Mpira hapa England vs Iran
Toroka huko fastaSoon tuu.. ntakua karbu na TV.. japo mambo ni meng hapa ila tajitahidi🥱🥱🥱🤣🤣 washaanza
Kutoroka toroka huku...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sa hivi nimekoma kutoroka 🙌🙌🙌 kabla ya kipindi cha pili nitakuwepo... Wee upo timu gani...?Toroka huko fasta
dakika ya 29 sasa
Hahhah poyeeeKutoroka toroka huku...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sa hivi nimekoma kutoroka 🙌🙌🙌 kabla ya kipindi cha pili nitakuwepo... Wee upo timu gani...?
Bellingam kijana mdogo akatupa ushindi England 🥳 🥳Kutoroka toroka huku...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sa hivi nimekoma kutoroka 🙌🙌🙌 kabla ya kipindi cha pili nitakuwepo... Wee upo timu gani...?
Timu ambayo itafunga ndo timu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahhah poyeee
unatoka saa kumi na moja
goal kwa England 🥳🥳🥳🥳🥳🥳
nipo England
hahahah uniache 😂Timu ambayo itafunga ndo timu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo yakipungua ntawahi kuangalia na me.... Ingekua usiku hivi hapo ingekua vizur ila sa hivi... Kuchomoka ni ngumu...,🤣🤣🤣 Fatilia afu utanipa full info mchezo ulivokuaHahhah poyeee
unatoka saa kumi na moja
goal kwa England 🥳🥳🥳🥳🥳🥳
nipo England
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaaani wewe kabisa uwe na team 🤣🤣🤣 nasubiri ubao upinduke ntajiona mengi hapa 🤣🤣🤣hahahah uniache 😂
bado nafuatilia team 🤣🤣🤣
goli la pili 🥳🥳Mambo yakipungua ntawahi kuangalia na me.... Ingekua usiku hivi hapo ingekua vizur ila sa hivi... Kuchomoka ni ngumu...,🤣🤣🤣 Fatilia afu utanipa full info mchezo ulivokua
Hahha Sina team mie🤣🤣🤣🤣🤣 Yaaani wewe kabisa uwe na team 🤣🤣🤣 nasubiri ubao upinduke ntajiona mengi hapa 🤣🤣🤣
Hapo una furaha ka zote 🤣🤣🤣🤣🤣goli la pili 🥳🥳
hapana chezea
nitakupa updates Kaka
hahahaha bao la tatu 🥳🥳🥳🥳🥳Hapo una furaha ka zote 🤣🤣🤣🤣🤣
Nililijua hilo....🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jana ukawaponda waarabu wa watu daah😥😥😥Hahha Sina team mie
Ushindi ulipo najipeleka huko huko 🤣🤣🤣
waarabu wamezinguaNililijua hilo....🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jana ukawaponda waarabu wa watu daah😥😥😥
Walikua wapo kwenye swaumu.. (wamefunga)🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣waarabu wamezingua
host wanafungwaje Sasa🤣
Walikua wapo kwenye swaumu.. (wamefunga)🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kheee netball au football mbna chap hvo 🤣🤣🤣🤣hahahaha bao la tatu 🥳🥳🥳🥳🥳
hapana chezea England