Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahhaa noma aiseeNdo mtaelewa Tanesco walivyo na sifa mbona mtafurahi... Mtasikia tuu kwa wenzenu .....🤣🤣🤣
mgao siku hizi unaanza saa moja kamili .
Hahhaa noma aiseeNdo mtaelewa Tanesco walivyo na sifa mbona mtafurahi... Mtasikia tuu kwa wenzenu .....🤣🤣🤣
Nafurahi kusikia hivo🤣🤣🤣🤒🤒,,, me skumbuki huku umeme ulikata lini..?Hahhaa noma aisee
mgao siku hizi unaanza saa moja kamili .
Unaishi Masaki nini ?Nafurahi kusikia hivo🤣🤣🤣🤒🤒,,, me skumbuki huku umeme ulikata lini..?
Mbande_kisewe.. unapajua au ushawahi pasikia..😇😇Unaishi Masaki nini ?
maana hadi huko Mbweni kwa wakishua wanakata.
Poapoa... Here waiting mkuu usiniangushe!!✌️✌️✌️🤒🤒🤒 Bhado sa hivi wapo ka wote subiri mida ile...
Mda huu na upo huku...🤣🤣🤣 Usiunguze tuu huko😇Poapoa... Here waiting mkuu usiniangushe!!✌️✌️✌️
Lol kumbe!! Sante sana kipenzi tumesubiria kwa hamu kubwaaa!!😍😍kesho my dear
tupo hapa tunasubiria kwa hamu
japo na huu mgao sijui
ooh napasikiaMbande_kisewe.. unapajua au ushawahi pasikia..😇😇
Huku hakuna mamb hayo,,, yapo huko mjini....🤣🤣ooh napasikia
yeah dearLol kumbe!! Sante sana kipenzi tumesubiria kwa hamu kubwaaa!!😍😍
huko pazuri basiHuku hakuna mamb hayo,,, yapo huko mjini....🤣🤣
Hapana bado... Afu upo chap chap an si ulitoka sasa hivi tuu huku🤏Ndiooo Nimemaliza kupika saiviii!! Vipi Unataka unibless saivi? Tinsley dear miss you sana leooooo😘😘😘😘
Italy!! Wewe je??? Sema zinachocheza kwa siku ntakua nachagua hapohapooo!!yeah dear
tufurahi sasa mpira unaanza
wewe ni team gani ?
Dah hapo kwenye bei🤏🤏.. ila pazuri. Your welcome 🤝huko pazuri basi
nasikia hata Kodi bei nzuri .
Nishamaliza kweli..!!! Hapa naenda kumwogesha Junia na dawaaa mitishamba ya mafundo fundo ndio nimeichemsha hapaa 😁😁🤣🤣!!Hapana bado... Afu upo chap chap an si ulitoka sasa hivi tuu huku🤏
Team Argentina mieItaly!! Wewe je??? Sema zinachocheza kwa siku ntakua nachagua hapohapooo!!
Ahahahhhahah 🤣🤣 dah kwa sauti kabisa nimecheka..... Ile mada ya mshana kule inakuhusu...Nishamaliza kweli..!!! Hapa naenda kumwogesha Junia na dawaaa mitishamba ya mafundo fundo ndio nimeichemsha hapaa 😁😁🤣🤣!!
AsanteDah hapo kwenye bei🤏🤏.. ila pazuri. Your welcome 🤝