Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I am okay Mkuu,

I used kujiona an ordinary(average) person way back sabb niliona inasound humble..

Ila kuna jamaa yangu akaja kunitonya the fact we were created kwa mfano wa Mungu we are not ordinary...

I don't know kama alinidanganya..
Yupo sahihi ... we are not ordinary .
Mungu ametupa mamlaka na uwezo wa kufanya mambo makubwa .

sometimes ngumu sana kujisifia mwenyewe so unapindisha kidogo .
 
Weekend..
20221119_160131.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom