Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umejimalizaa sanaaaaaaa yaan saaanaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ngoja kitumbua tuweke mchanga πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•
Hata uroge kwa kuchutama mi na Tinsley mpaka qiyama hatuachani. Mtoto amenidhibiti yaani ni somo kungwi fundi wa mapenzi haswa. Sauti yake nyororo tuu inatosha kunipelekesha mputa mputa. Na utanuna mpaka upasuke πŸ˜‚
 
Hata uroge kwa kuchutama mi na Tinsley mpaka qiyama hatuachani. Mtoto amenidhibiti yaani ni somo kungwi fundi wa mapenzi haswa. Sauti yake nyororo tuu inatosha kunipelekesha mputa mputa. Na utanuna mpaka upasuke πŸ˜‚
Oky unajua now yupo wapi na anafanya niniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utakufa preshaa wewe.. unazama mazima kwa miguu miwili eeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utajua ujui sasa kiufupi umepigwa na ile inaitwa ndoige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
 
Oky unajua now yupo wapi na anafanya niniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utakufa preshaa wewe.. unazama mazima kwa miguu miwili eeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utajua ujui sasa kiufupi umepigwa na ile inaitwa ndoige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
Nimenasiana yaani kuchomoka sichomoki. Pole sana hata useme nini ndio kwanza twazidi kupendana na kujaliana. Maana najiamini niko peke yangu ndio maana natamba. Angalia usife kwa presha na kijiba cha roho Poor Brain 🧠
 
Nimenasiana yaani kuchomoka sichomoki. Pole sana hata useme nini ndio kwanza twazidi kupendana na kujaliana. Maana najiamini niko peke yangu ndio maana natamba. Angalia usife kwa presha na kijiba cha roho Poor Brain 🧠
Yaah naamini kuna kipindi ndoto tunazoota huwenda zikawa true... Nimependa ndoto yako.. goodπŸ€£πŸ€£πŸ“ŒπŸ“Œ ngoja tukuoneshe kuwa bado unaota wewe...
 
Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani kwa mfinyanzi
Utamwona mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika anakifinyanga tena
Anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye

Ndivyo ulivyo Wewe ni mfinyanzi
Kilichoharibika unakifinyanga tena
Unakifinyanga tena, unakifinyanga tena
Jinsi upendavyo Wewe
 
Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani kwa mfinyanzi
Utamwona mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika anakifinyanga tena
Anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye

Ndivyo ulivyo Wewe ni mfinyanzi
Kilichoharibika unakifinyanga tena
Unakifinyanga tena, unakifinyanga tena
Jinsi upendavyo Wewe
Umelala... ...??
 
Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani kwa mfinyanzi
Utamwona mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika anakifinyanga tena
Anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye

Ndivyo ulivyo Wewe ni mfinyanzi
Kilichoharibika unakifinyanga tena
Unakifinyanga tena, unakifinyanga tena
Jinsi upendavyo Wewe
Shukran Mtumishi kwa ujumbe
 
Back
Top Bottom